Recent content by JoelZacha

  1. JoelZacha

    Pesa sio kitu pekee cha kumfanya mwanamke atulie na wewe kwenye ndoa au mahusiano

    Dah kweli kabisa, unaweza kuwa na pesa na mke wako ukampa kila kitu lakini akakusaliti, inauma sana, tutafute hela kwa ajili yakujipa furaha wenyewe.
  2. JoelZacha

    BMW X5: Mwenye kuijua!

    Hahahaha! Unamaanisha walimu?🤣🤣🤣🤣, hapana, walimu zao ni IST, SPACIO, RAUM ETC.
  3. JoelZacha

    BMW X5: Mwenye kuijua!

    Spares zake ni ghali ila ni gari nzuri sana kama unauwezo wakuihudumia, haitaki mafuta ya gari kuwasha taa, haitaki mafuta yakuweka kila petrol station coz si salama kwa fuel pump na inataka service kwa wakati.
  4. JoelZacha

    BMW X5: Mwenye kuijua!

    Kaka kwema? Uliishia wapi tena? Tulisubiri sana nondo za hii chuma ila ukatokomea kusikojulikana, nini kimekusibu? 😅😅 a
  5. JoelZacha

    BMW X5: Mwenye kuijua!

    Kaka kwema? Uliishia wapi tena? Tulisubiri sana nondo za hii chuma ila ukatokomea kusikojulikana, nini kimekusibu? 😅😅
  6. JoelZacha

    BMW5: Naombeni Ushauri

    Acha kumkatisha mwenzio tamaa brother, unajua utamu wa BMW×5? imetulia sana roadini, kama uko kwenye Toyota Land Cruiser LC300 GX.
  7. JoelZacha

    BMW5: Naombeni Ushauri

    Jamani huyu atakuwa anazungumzia BMW X5 ila anatakiwa aspecify ni ipi? E53? E70? E71?
  8. JoelZacha

    Msaada kuhusu mbegu za nyanya

    Wandugu kwema?jamani naombeni mniambie mbegu inayoitwa Anna f1 ni nzuri?na vipi uzaaji wake na ninaweza kuipanda kwenye open space?au naombeni ushauri wa mbegu inayozaa sana na kwa mda mrefu kwa zaidi ya miezi 5 na zaidi,ahsanteni.
  9. JoelZacha

    Aina mbalimbali za mbegu za Nyanya Hybrid na maeneo zinazokubali kwa mavuno mengi.

    Wakuu kwema? Jamani naombeni mwongozo wa kupruni matawi ya nyanya huwa yanafanyika nyanya ikiwa imefikisha mda gani?na je ni matawi yapi yanatakiwa yapruniwe?dhumuni la kufanya hivyo ni nini sana sana?
Back
Top Bottom