Kuna shule moja hapa morogoro, ni shule kubwa sana lakini huwa inafanya interview kila mwaka ila cha ajabu hakuna anayeajiriwa. Kumbe huwa wanafanya kama kutengeneza image ya shule.
Tunakupa Notes za secondary zilizo katika format ya PDF kwa bei nafuu sana.
1. Notes tumeziandaa wenyewe.
2. Tumezingatia syllabus katika kuziandaa kwa hiyo Topic zote zipo.
3. Kwa upande wa Geography na Biology michoro, diagram na picha zote zipo kukufanya uelewe kirahisi sana masomo hayo.
4...
Swali zuri sana boss.
Unajua sisi ambao hatuna experience, linapokuja suala la salary huwa hatuna ujanja sana kwenye mazungumzo maana hatuwezi kudai mshahara wa mtu mwenye experience. Na wenyewe huwa wanatuchukua kwa sababu wanajua hatuwezi kudai hela nyingi.
Mshahara sio ule nilioutarajia...
Ndio kwa upande wangu mimi nimeona magroup ya ajira kuna baadhi nimeona unatakiwa utoe angalau kama sio 2000 basi 3000 ili ujiunge. Ila yakujiunga BURE nayo yapo pia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.