Recent content by joel elias

  1. J

    Question

    Tnx mkuu
  2. J

    Question

    Jaman wakuu naombeni msaada kama kuna mtu yeyote aliyesoma koz inaitwa project planning anielezee kdg ubora wake na soko piah maana nmechaguliwa hyo lakin sijawa exposed sana juu ya hyo koz msaada plz
  3. J

    Naombeni msaada: Nimesoma HGL, Je nisomee nini chenye manufaa?

    Duh mbon sasa kwenye maths o level wanademand D then unasema ivo kuna mantiki gan hapo mkuu naomb ufafanuz
  4. J

    Naombeni msaada: Nimesoma HGL, Je nisomee nini chenye manufaa?

    Mkuu utakuw umenisoma vibaya lengo lang hapo skutaka ushauri bal niltaka maelezo kwa anayeifahamu hiyo koz inakuw inahusiana na nin ndo ilikuw main point haswa kwa sabab ndo nmetokea kuipenda sana
  5. J

    Naombeni msaada: Nimesoma HGL, Je nisomee nini chenye manufaa?

    Sas hata kama sijui hgl na ufund umeme wap na wap mkuu acha
  6. J

    Ardhi University(ARU) - Special Thread

    Sorry mkuu naomb msaada juu ya koz inayoitwa bachelor of sciece in infrastructure planning and huosing inahusu nin na soko lake
  7. J

    Naombeni msaada: Nimesoma HGL, Je nisomee nini chenye manufaa?

    Wakuu kuna koz inaitwa bachelor of science in infrastructure planning and housing ina soko na ni nzur!? naomb msaada kwa yeyoyte
  8. J

    Naombeni msaada: Nimesoma HGL, Je nisomee nini chenye manufaa?

    Vip mkuu kuhusu hii koz inaitwa bachelor of science in unfrastructure planning and housing ikoje na soko lake
Back
Top Bottom