Jaman wakuu naombeni msaada kama kuna mtu yeyote aliyesoma koz inaitwa project planning anielezee kdg ubora wake na soko piah maana nmechaguliwa hyo lakin sijawa exposed sana juu ya hyo koz msaada plz
Mkuu utakuw umenisoma vibaya lengo lang hapo skutaka ushauri bal niltaka maelezo kwa anayeifahamu hiyo koz inakuw inahusiana na nin ndo ilikuw main point haswa kwa sabab ndo nmetokea kuipenda sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.