habari wanajamvi?.
naomba kwa mwenye kuufahamu mkoa wa morogoro vizuri mimi ni mwalimu tarajari wa shule za misingi.
napenda kuufahamu mkoa huu katika nyanja zifuatazo;_
1. uwekezaji hususani kilimo na ufugaji vinafanyikaje.
2. mawasiliano ya simu, na miundo mbinu ya usafiri.
3. hali...
wanatumia wanyama tofauti na binadamu kwa sababu zifuatazo;_
1. wanyama ni raisi kuwanunua kwa ghalama nafuu,tofauti na binadamu.
2.wanyama hata wakifa haina athari kubwa ,kama wangetumika binamu
3.sabubu ya kiuchumi. mfano jaribio likiwa linahitaji namba kubwa ya viumbe ,itakuwa rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.