Yani kama voda ukijiunga tena bando la chuo internet pekee ndo hata mnara haupandi kabisa,si mm 2 hata wenzangu mwendo ndo huohuo. Big up halotel spidi ya mwendokasi
Hao hawaendi kujifuza urubani bali ndege mpya kama hizo aina ya q400 wanazoleta ni mpya,so ni kozi tu fupi kwa maana ni aina mpya hio ya ndege kwetu Tz. Hicho kitu kipo hata kwa mashine mpya viwandani au kwa kifaa kipya hospital.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.