Wadau Habari zilizosikika hivi punde ni kwamba kuna bom limeonekana maeneo ya makutano ya barabara ya shekilango na morogoro na eneo hilo kwa sasa liko chini ya ulinzi kwa ajili ya harakati za kuliondoa bom hili na kuepusha raia dhidi ya madhara amabayo yangeweza kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.