Recent content by Jodoki Kalimilo

  1. Jodoki Kalimilo

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Wameachia tuagane au labda sio Jukwaa hili maana JF ipo Twitter, Facebook au Instagram sijui JF Digital etc Wanavyoifungia utadhani hata hao viongozi wa serikali wangefuatwa ili ku-balance story wangekuwa na majibu manyoofu
  2. Jodoki Kalimilo

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Nilikuwa natafuta comment kama hii maana hata mie sina VPN (nikasema kulikoni au simu yangu ina VPN bila kujua) Actually niliona post kwenye page yao ya Facebook nikasema niingie kujaribu na nikafanikiwa)
  3. Jodoki Kalimilo

    GE2025 Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa

    Badala la tutahakikisha tunapunguza idadi ya vifo kwa kuendelea kuboresha huduma za afya....yeye anakuja na issue ya kuachia maiti
  4. Jodoki Kalimilo

    GE2025 Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa

    Yaani kama ni mgeni anasikiliza alafu hajui kinachoendelea, anaweza kudhani madam ni kutoka chama cha upinzani kwa hayo anayoyaeleza
  5. Jodoki Kalimilo

    Watu wa Kigoma niwaelewa sidhani kama watachagua huyu comedian wa CCM na kumuacha Zitto Kabwe

    Shida hata hawa wasomi tunaowapigania waingie bungeni wengi hawana mchango wowote wakiwa bungeni hasa ikifika kile kipengele cha """Wanaoafiki waseme ndio....utasikia NDIYOOOOOOOO" hata kama nafsi yake inahisi kuna hapana Acha wapeleke bungeni watu wanaofanana nao kielimu
  6. Jodoki Kalimilo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri
  7. Jodoki Kalimilo

    Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    Hajui kwamba kuna wengine ni wazee wa kufanya kaza za kutoka (utekelezaji) na wengine ni wazee wa kutanya kazi za kuweka mipango na strategies za kufanya kazi kisha jioni anapokea taarifa na kuziweka sawa na kuweka program za siku zinazofuata, anakuwa anapiga home Vile anavyomuona kavaa vizuri...
  8. Jodoki Kalimilo

    Wengi wanahoji wake wa Spika Job Ndugai, na kuona mmoja amesahaulika

    Faustine amezikwa mjini alikozaliwa ila baba yake ambae alikuwa ni Afisa wa Serikali alipelekwa kuzikwa kijijini alipozaliwa
  9. Jodoki Kalimilo

    Kwa nini watu wa mikoa ya Mara na Kilimanjaro wanapenda sana kufuatilia siasa za Kenya?

    Hata mkoa maeneo ya Karagwe unakuta wanasikiliza sana radio za Uganda na Rwanda....niliwahi ishi kule kabla ya hizi fm radio za kimkoa bado. Ukiondoa RFA ambayo Kwa tabu ilipatikana, hakuna cha radio one wala RTD. East Africa Radio enzi zile inavuma unaipata kwa masafa ya Uganda
  10. Jodoki Kalimilo

    Polepole: Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya Zimamoto 'Fire'

    Usiku huu naona na Facebook kama imepigwa pin, kichekesho wanafunga alafu na wao wana-post Kila siku ma-vitu Yao (taarifa Kwa umma) which means wanatumia VPN
  11. Jodoki Kalimilo

    GE2025 Job Ndugai akataliwa hadharani, wajumbe wamwambia apumzike sasa

    Sio tu aliwahi kushika hizo nafasi bali alitangaza hagombei tena, sasa kipi kimemfanya arudi tena
  12. Jodoki Kalimilo

    Polepole: Hatuwezi kuwa nchi inaendeshwa kama idara ya Zimamoto 'Fire'

    Mie nina miezi miwili sijaingia Twitter maana sijaweka VPN, naona notification na vichwa vya habari ukibonyeza hamna kitu
Back
Top Bottom