Wameachia tuagane au labda sio Jukwaa hili maana JF ipo Twitter, Facebook au Instagram sijui JF Digital etc
Wanavyoifungia utadhani hata hao viongozi wa serikali wangefuatwa ili ku-balance story wangekuwa na majibu manyoofu
Nilikuwa natafuta comment kama hii maana hata mie sina VPN (nikasema kulikoni au simu yangu ina VPN bila kujua)
Actually niliona post kwenye page yao ya Facebook nikasema niingie kujaribu na nikafanikiwa)
Shida hata hawa wasomi tunaowapigania waingie bungeni wengi hawana mchango wowote wakiwa bungeni hasa ikifika kile kipengele cha """Wanaoafiki waseme ndio....utasikia NDIYOOOOOOOO" hata kama nafsi yake inahisi kuna hapana
Acha wapeleke bungeni watu wanaofanana nao kielimu
Hajui kwamba kuna wengine ni wazee wa kufanya kaza za kutoka (utekelezaji) na wengine ni wazee wa kutanya kazi za kuweka mipango na strategies za kufanya kazi kisha jioni anapokea taarifa na kuziweka sawa na kuweka program za siku zinazofuata, anakuwa anapiga home
Vile anavyomuona kavaa vizuri...
Hata mkoa maeneo ya Karagwe unakuta wanasikiliza sana radio za Uganda na Rwanda....niliwahi ishi kule kabla ya hizi fm radio za kimkoa bado.
Ukiondoa RFA ambayo Kwa tabu ilipatikana, hakuna cha radio one wala RTD. East Africa Radio enzi zile inavuma unaipata kwa masafa ya Uganda
Usiku huu naona na Facebook kama imepigwa pin, kichekesho wanafunga alafu na wao wana-post Kila siku ma-vitu Yao (taarifa Kwa umma) which means wanatumia VPN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.