Duuh nimezoea Kila siku na begi mgongoni ila angalau imeharibika hii miezi 2 natembea bag without mpaka nimezoea wakati kipindi cha nyuma nilikuwa najiona kama Sina balance nikitembea bila bag
Shida tu vyombo vya serikali kujihusisha navyo, ingebaki tu kama taratibu, kanuni, mila na desturi za eneo husika ambazo zinatatuliwa Kwa maelekezo ambayo sio Sheria mfano "mtu anapoingia anaambiwa si busara kula hadharani na hata akionekana anakula anaambiwa". Ni kama tu watalii wanapoingia...
Tukishindwa kuzitumia vizuri hii nyembamba basi hata barabara ikitanuliwa mambo yatakuwa yaleyale.
Ajali iliyotokea ni utaratibu ule ule wa kutoachiana nafasi (keep distance) kati ya bus na bus na kufukuzana ambapo wa mbele amemgonga tanker la mafuta kilichofuata wa nyuma nae akaingia kwenye...
Yaani hapa mie ni kama mtu ana hiyo hiyo ela alafu umwambie a-bet.
Mie nasema Yanga 3 - Mamelod 0
Simba 1 na Al Ahly 1
TP Mazembe anapiga goli 1 bila
Asec anashinda 2 bila
Utabiri wa humu ni kiboko, mtu akitabiri Yanga anashinda upande wa Simba anatabiri kupigwa....akitabiri Simba kushinda Kwa upande wa Yanga anatabiri kupigwa
Hapo kwenye "my take" inaonyesha hata wewe ni miongoni mwa wapiga spana Aljazeera English hata kama ulikuwa mpenzi msomaji wa comments ila umeandika kitaalam sana kama unashangaa inavyopigwa spana.
Anyway, Aljazeera kipindi cha Osama ilikuwa moto sana kwenye habari za nchi za mashabiriki ya...
Ndio alichoandika jamaa asichokozwe na Kila mtu atambe kwenye mipaka yake, Kwa kwenda tu kwenye kichuguu ambalo ndo maficho yake automatically atakudhuru maana hana option nyingine zaidi ya kukudunga tofauti kama angekuwepo kwenye kichaka kingine cha kwanza angetafuta chimbo lake Kwa kusepa...
Achana na mambo ya mkaa endelea na shughuli zako, kugongwa na nyoka ni bahati mbaya mkuu na kwake nyoka hapendi kugonga mtu (ni matumizi mabaya ya sumu ambayo anatumia kuwinda)
Mkianza shughuli atahama au atakuwa anapita usiku mchana anapotea. Kelele na mishe za raia zitamdogeza mbali
N.B...
Hakuna shida mkuu, nyoka kwake ni porini na huko ndo maskani yake na ukitaka kum-disturb ndo utaangamia. Yaani mpaka umefika hapo kwenye msitu wako umewapita nyoka kibao sema Kwa kuwa hujawashitukia unaamini huko kwenye mashamba mengine hakuna nyoka.
Nyoka Kwa binadamu ni mwoga na akimwona...
Koboko hana tatizo ila tatizo lipo kwetu sie wanadamu, angekuwa yupo kwenye makazi ya watu hapo sawa lakini huyo yupo porini hana shida.....ukiona nyoka amemgonga mtu ujue mtu ndio amemfuata vinginevyo hawezi kukufanya chochote sana sana atatafuta sehemu nyingine ya kujificha.
Kama huna uwezo...
Urafiki kati ya Mwanamke na Mwanaume upo vizuri tu ila inategemea na nyie wenyewe mkoje (kikubwa msijenge mazingira tatanishi yakavunja urafiki wenu maana Kila mtu anaweza akawa anaheshimu urafiki ila Kuna mazingira mkiwepo ukichanganya na aina ya story mnazopiga mnaweza mkashangaa mnaamka wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.