Yaani mimi ndio niwe wa kurushiwa maumivu kwa jina la ndoa...unifanyie mapichapicha kisa umenioa? Hiyo ndoa imekua ni uhai! Kupenda ndoa bila kujithsmini ndio matokeo yake haya yaan mtu anajisifia kbs hakuna baya ntamtupia akakimbia[emoji28][emoji28] heri kuikosa hiyo ndoa nikiwa mzima kuliko...
Hujaniuliza mm ila naomba nikujibu kwa experience yangu..kua na subira huku ukimuomba Mungu I mean it sababu nina ndugu yangu alikaa miaka8 bila mtoto ilibakia kidogo watengane mambo yalikua ni mengi mno huwez amini mwaka wa 9 mkewe akaconcieve akapata mapacha3 wawili wa kiume 1 wa kike!
Jirani...
Komasmitaa-thank u, asante
Komasmita komao-asante kushukuru
Hyungnim-heshima kwa mtoto wa kiume km kaka japo anaweza asiee ndugu yako
Horabunyee-brother , kaka
Kamchupirimita-hongera
Pehaa-mfalme
Puii-kiongozi wa kike au niseme malkia ila sio kwa kuolewa kibongobongo km mama Samia...
Cha kushangaza ndio makabila yanayoongoza kwa kuolewa Tz hilo likubaliwe au likataliwe...most of them ndoa zao zinakuaga na maendeleo kupita kiasi hata katika nyanja kubwa na sekta za muhimu kitaifa lazima ukutane na hizo chata zimejaa ukianzia ma lecturers vyuoni utasikia kina Mwaseba,Urassa na...
Kumbe nadeal na mtu wa aina yako[emoji23][emoji23]...sheikh mtabiri usikariri lifestyle uliyonayo ukashani kila mtu anaiishi hiyo hiyo...niwe nazo mshindo au mtelezo hiyo cdhan km inabadilisha chcht kwny maisha yk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.