Hello JF
Nmepata kazi sasa mbili moja International NGO Mshahara zaidi ya Millioni moja na nusuu,lakini mkataba ni mfupi na serikalini kama afisa maendeleo ya jamii kwenye chuo fulani cha maendeleo mshahara laki sita na kidogo tu nifanyaje......nakaribisha msaada wenu wa kimawazoo.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.