Kama ulifata hatua zote za chuo pia ulitakiwa kutoa taarifa loan board ili kisitisha mkopo wako kwan kama hukufanya HVO INA maana board waloendelea kuleta pesa chuo na na inawezekana baada yankugundua haupo wakaamua kisitisha WAP kwa nguvu.. HVO unatakiwa kifika mwwnge physically usaidiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.