January Makamba ni kiongozi mzuri na mfano wa kugwa kwa vijana wengi, alikua na nafasi ya kufa ya haya enzi za JK lakin kutokana na weledi na mapnz yake akaiweka nchi mbele. Leo mjinga mmoja mwnye njaa asitugombanishe na viongozi wetu tuliowachagua kwa gharama na mapenz
Usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako, tungekua tunaishi ndani ya mfumo huu wa maisha hakika tungekuwa tunaishi maisha mwanzanana sana.. ila ubaya ni kwamba watu tunafanya ambavyo hatutamani kiufanyiwa...ila kwa vile tunawafanyia wengine sisi kwetu hatujali...pole sana mama regina kwa...
Mengi yanayofanyika kwake ni Maigizo tena ya gharama kubwa sana..Anawaaminisha Wantanzania kwa kutumia nguvu kubwa sana kua yeye ndio anakubalika, yupo tayari kuwalipa hata watu wadeki barabara, wazimie, walie na mengine ya kufanana na hayo. Kiongozi wa namna hii ambae yupo tayari kuinunua...
This is the matter of death and life...hapa ni kuhakikisha kila unachokifanya kinakuletea matokeo chanya huuu ni muda wa kupigana kwa ajili ya ukombozi wa Tanzania, tunataka Tanzania mpya,tanzania inayosogea mbele kwa kasi kubwa. Wakati wenzetu wanatembea sisi tunahitaji kukimbia. Tushikamano...
HAHAHHA nyie watu mnafurahisha sana ujue, yani mmefungwa 2-1 alafu mnafurahi, tena na goli mmoja lenyewe mmeotea. Kweli boraukose mali nduguzako wakuchangie kuliko ukose akili maana hutakua na faida yeyote kwenye jamii. Utafiti mmefanya na taasisi ya chama chenu alafu mnajisifia? hiyo ni akili...
Watu ujana wao wote wameutumia wakijilimbikizia mali za umma, baada ya kuona walichoiba kitawafikisha kaburini sasa wanataka kutuaminisha kua eti wao wanaweza kuleta mabadiliko. You can not teach an old dog new tricks, sasa huyo kashazoea kuiba leo anataka kutuambia kua anaweza kuleta...
Mbatia na yeye amekaaa kama goalkeeper, haijalishi shoot kapiga nani ila atadaka yeye, unashindwa kuelewa hata mgawanyiko wa kazi ndani ya chama taifa mtaliweza nyie kweli. Mbatia na sauti yako yakwanza uwe makini NCCR itakufa maana mkipta hata wabunge 5 mkafanya tambiko. Chezea mbowe wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.