abunusi alikuwa na ghorofa lake,sasa alipoona maisha magumu akauza vyumba vyote vya juu yeye akabaki na vyumba vya chini, cku akiishiwa hela anatangaza hiv, jamani eee mimi nabomoa nyumba yangu ya chini nyie wa juu tafuteni mahali pengine mkakae, basi wanamlipa hela ili asibomoe