Recent content by Joachimb

  1. J

    Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard

    Hili swali hata nikijibu sidhani kama itasaidia sana, ndo maana najibu maswali yenye mlengo wa kusaidia kumpata
  2. J

    Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard

    Tuombe Mungu isiwe hivo
  3. J

    Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard

    Aliondoka katika kutafta maisha,mtoto nilibaki nae kama ndugu,ila baadae upatikanaji wake ukawa wa shida
  4. J

    Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard

    Nimetrace ngara wakasema hko hajawahi kurudi, ila wanasisitiza tangu aende katoro hajawahi kuonekana,ndo imebidi nilete kwenu waungwana mnaweza kuwa mshamuona sehem alipo
  5. J

    Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard

    Sio kweli,ingekua hivo ningekua nshampata,nataka mtoto ampate mama yake ili amjue mama yake,naomba kama atapatikana itakua nzur
  6. J

    Namtafuta ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard

    Ndugu yangu anaitwa Ester Wilbard, nilipotezana nae mwaka 2012 akiwa Katoro Geita, alikua anajihusisha na kazi ya mama ntilie ila kwao ni mzaliwa wa Ngara. Lengo la kumtafuta aliacha mtoto wake mdogo sasa hivi kawa mkubwa anatamani kumuona mama yake. Kama kuna mtu anamfahamu au anafahamu...
  7. J

    Natafuta POS za kununua za benki ya NMB na CRDB

    Selcom unaweza kufanyia miamala ya benki,maana sjawahi kuitumia hiyo
  8. J

    Natafuta POS ya kununua ya NMB na CRDB bank

    Sawa tajiri,niuzie bas
  9. J

    Natafuta POS ya kununua ya NMB na CRDB bank

    Natafta posi ya kununua ya benki za CRDB na NMB kwa yeyote atakua nazo naomba anitafte inbox tufanye biashara
  10. J

    Natafuta POS za kununua za benki ya NMB na CRDB

    Naomba kujua kama kuna mtu anauza posi ya nmb na crdb anitafte nataka tufanye biashara maana nazihitaji kwa uharaka sana.
  11. J

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Kula 3m mkuu
Back
Top Bottom