Mimi nilijijazia mwenyewe nikapata ,ila nimekwama kujaza fomu ya D 260 maana wanataka niweke address ya mtu atakayenihost nikienda huko wakati sina mtu, nilitaka niende mwenyewe bila kutegemea host family. Nimeamua kuachana nao
Nina kesi kama yako ,kuna kiwanja nilinunua nikasafiri kwa mwaka mmoja kipo kahama,niliporudi nilkuta dalali ameshakiuza na kuna nyumba inajengwa,nimeenda mahakamani hakimu ni kama wamemuhonga yaan napata usumbufu nataman kama kuna mtu anweza knisaidia aje pm anisaidie namna ya kunisaidia
Ninamiliki email ya yahoo,ila nilisahau password yake,na email niliyotumia ili inisaidie kurecover email sina acces nayo,pia namba ya sim niliyoweka ili inisaidie kurecover email ilipotea sina mawasiliano nayo.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kuifungua na kupata password mpya naomba...
Nahitaji gari la kununua kutoka kwa mtu ambaye siyo dalali.
Gari liwe kwenye hali nzuri kampuni ya toyota, bajeti yangu ni milion 3.5 .
Kwa mawasiliano zaid tutaonana inbox kama kuna mtu anayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.