Cha kuelewa ni kwamba siku zote wazazi wanaponisomesha wanaamini moja kwa moja kuwa nikihitimu naingia kibaruani lakini huwa kinyume chake ....wamekusomeshea hela zote umemalizia shulen unahitimu huna hata mia na hujui nani wa kumuomba mtaji ndo hapo linakuja suala la kubadilisha elimu yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.