Zanzibar inaweza ingia kwenye historia duniani kama nchi pekee ambayo badala ya mgombea kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa wa huru na haki, mwenyekiti wa tume ndio analalamikia matokeo. MAAJABU YA MUSA
Zanzibar inaweza ingia kwenye historia duniani kama nchi pekee ambayo badala ya mgombea kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa wa huru na haki, mwenyekiti wa tume ndio analalamikia matokeo. MAAJABU YA MUSA
Zanzibar inaweza ingia kwenye historia duniani kama nchi pekee ambayo badala ya mgombea kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa wa huru na haki, mwenyekiti wa tume ndio analalamikia matokeo. MAAJABU YA MUSA
Zanzibar inaweza ingia kwenye historia duniani kama nchi pekee ambayo badala ya mgombea kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa wa huru na haki, mwenyekiti wa tume ndio analalamikia matokeo. MAAJABU YA MUSA
Mwe akili mpaka sasa ameshajua NEC na KIKWETE wanakoipeleka nchi sio kuzuri ila mwenye utindio wa ubongo atabaki kushabikia tu kwa maslahi binafi ila hii nchi niyawatanzania na siwatu wachache kama wanavyofikiria mamluki wengine
Mimi nasema ukichagua ccm wewe ndiyo utakuwa mpumbavu
Leo mdahalo
Lowassa aliahidi kuto hudhulia na kweli hajahudhulia
Maghufuli aliahidi kwa dhati na kwa kusema ukweli kabisa kwamba atahudhulia mdahalo ila kashindwa kutimiza ahadi
Swali,
Kati ya hao wawili nani anaweza kuaminika kutekeleza...
Magufuri: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, jana wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri...
Magufuri: Diallo,nikipata uraisi takubeba kibiashara.
Katika kauli iliyonifanya nione kweli CCM ni janga la taifa hili na tusitegemee mabadiliko yoyote zaidi ya kubebana kama shukrani katika uongozi wa Magufuri, jana wakati anamuita mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza bwana Antony Diallo, Magufuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.