Recent content by jlo father

  1. jlo father

    Sehemu nzuri ya kujenga Morogoro Mjini

    me nahtaji sehemu yeyote isiokuwa na uswahili mkuu naomb msaada wako
  2. jlo father

    Sehemu nzuri ya kujenga Morogoro Mjini

    mkuu kwa kawaida huko viwanja vinarange kweny ngapi
  3. jlo father

    Sehemu nzuri ya kujenga Morogoro Mjini

    bigwa ngja nichek maeneo hayo
  4. jlo father

    Sehemu nzuri ya kujenga Morogoro Mjini

    kiongozi dodoma sina interest nako
  5. jlo father

    Sehemu nzuri ya kujenga Morogoro Mjini

    Naomba kuuliza ndugu zangu ni sehemu gani nzuri ya kujenga Morogoro mjini kwa watu wenye vipato vya kati
  6. jlo father

    DOKEZO Wakulima wa korosho wa chama cha msingi Kweli kilichopo kijiji cha Msilili wilaya ya Newala mkoani Mtwara chawafanyia hujuma

    Yaani hawa viongozi wanazingua kinoma alafu huu mpango kuna wakubwa wanaunga mkono
  7. jlo father

    DOKEZO Wakulima wa korosho wa chama cha msingi Kweli kilichopo kijiji cha Msilili wilaya ya Newala mkoani Mtwara chawafanyia hujuma

    Wakulima wa korosho wa chama cha msingi kweli kilichopo kijiji cha msilili wilaya ya Newala mkoani Mtwara chawafanyia hujuma. Wakulima wa korosho kwani wakulima wamepima mazao yao mwezi wa kumi na moja lakin hadi leo hayajasafirishwa kupelekwa kwenye mnada kwa makusudi kwani wanamaslai yao...
  8. jlo father

    Nchi inaendeshwa na utumishi wa umma au wanasiasa?

    Yaan hii nchi hatuangalii professional kabsa
  9. jlo father

    Nchi inaendeshwa na utumishi wa umma au wanasiasa?

    hii ndo katiba yetu ilivyo
  10. jlo father

    Nchi inaendeshwa na utumishi wa umma au wanasiasa?

    Kwa tanzania nchi inaendeshwa na wanasiasa
Back
Top Bottom