Recent content by jkachoko

  1. J

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...

    Bila shaka yaliyomo katika waraka huu mkuu wa malaika akiyapuuza naamini utakuwa in mpango wa Mwenyezi Mungu kuiondoa ccm katika utawala. Kwa hiyo basi viongozi wa vyama vya upinzani endeleeni kuvumilia madhila mnayoyapata kutoka kwa malaika mkuu, wanainchi endeleini kuvumia madhila mnayoyapata...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya Siasa?

    Kwa mujibu Wa professor Fusuro siasa in kazi inayofanywa katika jamii na taasisi iliyopewa mamlaka ya kusimamia rasilimali cha ambazo hazigawanywi kwa usawa. Taasisi inayozungumzwa hapa ni vyama vya siasa. Inapotokea chama kilichopewa ridha ya kuisimamia rasilimali hiyo cha ikafanya ndivyo sivyo...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Naliona pengo la mchungaji Mtikila

    Uwepo wa vyama vya siasa in kwa mujibu wa katiba ya Tanzania kutokana na kukubaliana kama taifa tuwe na vyama vingi vya siasa ili kupanua demokrasia. Kwa mujibu wa katika vyama vimerusiwa kufanya kazi ya siasa wakati wowote wanapohitaji kuwasiliana na wanachi na kuingiza wanachama wapya kwa...
Back
Top Bottom