Mkuu Shukrani sana nimenunu tayari tatu Zile lapto ulionielekeza nipo kwanza napata raha nazo mbili ni x220 na moja ni x230 vidogo lakini vina speed sana kwani nilinunua kwa kujaribu kuna kitu nafanya research kwanza Shukrani sana.Ila kuna kitu kimoja wakati nanunua kulikuwa na maelekezo...
Sawa mkuu nimejaribu kugoogle nimeona tofauti ni ndogo sana kwenye Germay keyboard z na y tuu vingine yote ni sawa wacha niangalie shukrani kwa kunielimisha
Mkuu Shukrani lakini sana nafikiri nimekufamu sana . Jee ikiwa mimi nina njia ya kupata laptop zenye keyboard kama hizo na kuzileta Tanzania je itakuwa na usumbufu kwenye mauzo kwa watumiaji kwani tatizo ni keyboard tuu naomba msaada kwa wenye uzoefu hilo ndio swali langu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.