Hawa mbumbumbu/Mikia/Bodaboda mbona vichwa vyao vimejaa maji Rage kuwaita mbumbumbu ni haki kabisa hivi mtu kama una akili timamu unaweza kuposti utumbo huu wale Makirikiri walihingwa na nani kubali tu kwamba timu yenu imejaa wahanga hivi wewe unataka wakuachie tu ufunge wasikukabe umebebwa...
Yule Mo mjanja sana hajaweka ile b20 bado ipo kwenye acc yako ndio uzuri wa kuwaongoza mbumbumbu maana hawajui chochote mwulizeni yule kihirizi cha simba Magori ambaye amekaa pale simba zaidi ya miaka ishirini wenzake wanakuja na kutoka yeye yupo tu
Hivi hawa Mbumbumbu/Bodaboda/Mikia wana akili sawasawa kweli wana uhakika gani kwamba GSM alitoa fedha kuwapa Biashara ili wawavunje miguu simba huu ni upuuzi wa kutotumia akili Makonda alipotoa m20 mbona Wananchi hawakulalamika Kipigo cha Mayele bado kinawasumbua sana wao wanataka wachezaji wa...
Hawa Mikia:Bodaboda/Mbumbumbu hawawezi kuelelwa kitu hata ukiwaambis timu ni ya kifamilia Mo/Mke/Azim/Barbara watakubishia wanasema mradi wanachukua Makombe siku wakikosa makombe ndipo akili zitafunguka na kuacha matusi
Wasikilizeni wazee sio kukimbilia kuwa wanatumiwa na upande wa pili hivi ni kwanini kila tatizo linapotokea simba mnakimbilia upande wa pili kwani Kilomoni alikuwa anatumiwa na Yanga wasikilizeni wazee Kilomoni aliwatahadharisha kuhusu ujanja wa Mo kuhusu b20 mkampuuza sasa unaambiwa hela hiyo...
Mbumbumbu ni mbumbumbu kweli mpira uchezwe Dodoma lakini kila shabiki wa mikia/Bodaboda lazima amtaje GSM kwani yeye anahusika vipi mchezi mbovu mnaocheza naona mna allege na Gsm halafu hatujaona kombe ulilolileta kazi kujisifia tu
Hivi wamachinga utawapangaje watu wamevamia hata njia za waenda kwa miguu na wanasababisha ajali hakuna mahali pa kupita mmachinga gani anakuwa na mali ya mamilioni huku ni kukwepa kodi watafutiwe eneo lao lakini sio kwa mtindo huu
Hili litimu linatia aibu tulisema hii timu ni ya familia mtu anajiuzulu anamteua mtu wa kumrithi kweli Rage hakukosea aliposema simba ni mbumbumbu hawaelewi kitu wanaona ni sawa halafu asema b20 ameweka akaunti gani
Mtindo wenu wa kusajili wazee bado unaendele Okwi miaka 40 atakuja kuwalia fedha bure si unaona akina Kapome Nyoni Wawa Mkude nyonga zinagoma wewe unafikiri wakiwa vijana wangefukuzana na Toto shida ni timu kuwa ya mtu mmoja halafu huyu Magori anataka nini simba au ndio kihirizi cha simba...
Wewe akili yako haiko sawa ya nini matusi mazito kwa wapakwa mafuta mambo ya ofisi na uhamisho wa wachungaji inakuhusu nini ubongo ukilegea na malezi mabovu yamekulemaza hivi kwa akili ya kawaida ukiambiwa thibitisha unayoyasema una ubavu huo mtu unatukana utafikiri hukulelewa sawasawa sasa hebu...
Umeeleza vizuri sana huyu ana laana sasa atuambie amesaidiwa nini kwa kumbilia kwenye mitandao KKKT lina utaratibu mzuri wa utunzaji fedha na zinakaguliwa na wakaguzi mbali na kusomewa kwa washarika mapato na matumizi kila robo ya mwaka na washarika hujadili hiyo ripoti kwa uwazi unaitwa mkutano...
Sasa hayo ni matusi kwa baba Askofu Shoo hivi inaingia akilini kuwa alikuwa anamchangia Mbowe mbona tunakosa adabu kwa viongozi wetu dini kama umetumwa kawaambie nimewakosa
Rc ni wasiri sana hawapayuki kama hawa walioleta habari hii Rc kuna michango mingi hasa kuanzia jumuiya mara watoe 500000 lakini wenzetu wamefundishwa kutii mamlaka iliyo juu kama hutoki kutoa si unyamaze sasa kwa kuandika humu umepata faida gani au tatizo lako limetatuliwa Hivi Askofu ndiye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.