Jamani mafanikio ya Mpira hayahitaji kuunda kamati za ushindi ndani ya mwezi moja utegemee kuitoa Algeria hizo ni siasa, ndiyo maana wenye akili zao walijitoa kwenye hiyo kamati tunahitaji kuandaa watoto wadogo kwa mategemeo makubwa mbeleni siyo zima moto hii yetu
Voda wanakera kwenye vifurushi 60 MB ukijiunga ukiperuzi kidogo unatumiwa SMS kuwa kifurushi kimeisha halafu wako slow sana kwanini msifanye kama airtel????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.