Recent content by JJ FORMAR

  1. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    TULIPOISHIA. Jambo alilowaza ni ikiwa hatima ya msomi iko kichwani mwake basi siyo yeye atakayetakiwa kumaliza bali kutakuwa na mtu mwingine atakayeifanya hiyo kazi. "Mtu huyo ni nani na kwa nini siyo mimi" Ndilo swali alikuwa akijiuliza asipate majibu, aliamini yeye ndiye alistahili kufanya...
  2. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    😇😇😇
  3. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    TULIPOISHIA Ninakutakia maisha mema" Jenita aliongea kisha akaanza kurudi kule dukani. "Maisha mema kwako pia, na Uwe na bahati njema kesho utakapokuwa ukiliunauza gari la rafiki yangu" Kauli hiyo ilimshitua sana Jenita, alilazimika kugeuka kama mtu ambaye hajasikia vizuri kilichozungumzwa...
  4. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Leo uhakika. 😇😇
  5. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Jioni Nitarudi tena.😇😇
  6. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    TULIPOISHIA. Kilichomvutia zaidi ni baada ya kusoma maneno yaliyoandikwa kwenye bango kubwa lililobandikwa juu ya jengo lile agundua kumbe lilikuwa jengo la hoteli. "Siyo mbaya Emiliana, kama umekosa eneo zuri basi mahali hapa patakufaa sana, utapata kile ukipendacho." Aliongea maneno hayo...
  7. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    TULIPOISHIA. Mazungumzo hayo yalikuwa na maana kubwa sana kwake, aliiona nafasi kubwa ya kupata ukweli kuhusu mauaji ya hotelini kupitia wanawake wale walioonekana kumjua vizuri kijana aliyeuawa hotelini. ENDELEA,, Mpaka muda huo wazo la kwenda kukagua chumba cha mauaji ndani ya Kiwala Hoteli...
  8. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Mda si mrefu natupia mwendelezo
  9. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Mzigo tayali, njooni sasa mninange🤣🤣 mhanuzi wangu HAYA LAND HOV Dickson j Cherecheche NAYAHITAJI SANA MAONI YENU, NIJIJUE JINSI NILIVYO.
  10. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    ILIPOISHIA, "Nisubiriiii nakujaaaaa" ndiyo sauti aliyoisikia dereva bodaboda aliyekuwa nje, aliiangalia saa yake mkononi kisha akaanza tena kugonga mlango akionekana kutotaka kabisa kupoteza mda wake mahali pale. "Ngo ngo ngo" "Ngo ngo ngo" aliendelea kugonga mpaka pale aliposikia sauti ya...
  11. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Usiwaze kuhusu hilo. 🙏🙏🙏
  12. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    TULIPOISHIA Furaha waliyokuwanayo ilitoweka ghafla mithili radi baada ya kijana mmoja kuingia kwa kasi sana pale ndani bila hata kubisha hodi, "Senior, kuna taarifa mbaya sana zimesambaa mtandaoni kumhusu tajiri Isaya inasemekan,,," ENDELEA. alikatiza sentensi yake ghafla, baada ya kubaini...
  13. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Leo nitajitahidi kuweka mwendelezo.
  14. J

    Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    Kuna namna kwa sasa imekuwa ngumu kuingia JF kwa njia ya kawaida, kwahiyo hilo nalo linachangia ukimya huu. mhanuzi wangu
  15. J

    Ukweli wazidi kujulikana. Dada aliyejitambulisha kama Mkatoliki ni Katibu wa UVCCM Tawi la Dovya

    Ngoja Niende Kumbe na mbinu hii IPO, Wacha niendelee kukua. ✍️✍️
Back
Top Bottom