Mimi kyagata nimekuelewa sana , kuna msemo unasema , nyuki hata siku moja hawezi mshauri nzi kuwa asali tamu , na nzi hawezi mshauri nyuki kuwa mavi matamu . Wewe unajuwa ulichokuwa unafanya na sasa nini unafanya huko porini kwa wanyama, kwanza ukiangalia umerudi tena kwenye utumwa na pili huna...
Bongo nyoso watu wako serious , 60% Ale Ex Winga mwenye goli lake na channel zake , 40% ale muendesha machannel … nimewakubali salute sana[emoji120][emoji120]
Pale kariakoo na posta kuna mawinga kwawao kupata 300,000Tshs mpaka 500,000Tshs na zaidi kwa siku nikawaida . Na nimewashuhudia na macho yangu , sasa watu kama hawa hivo vijikazi vya umama kuajiriwa unaweza waambia nini wakakuelewa . Tena achana na mawinga wa nyumba ndio hatari wanapiga mitonyo...
Baaaria nimekusoma kwa sauti kubwa sana na nimekuelewa … ajira waweza kulipwa 2million Tshs kwa mwezi , ila winga anaweza kubutu hadi 1million na zaidi kwa wiki [emoji23][emoji23][emoji23], sasa bora uwe mwajuma au mwantumu kwenye kazi za kuajiriwa au bora uwe boss Winga una set mipango kokote...
Wale wadau wanaopenda internet za kasi kubwa , Router zimefika kila aina za. 4G na zinginineze
Bei Zetu ni rafiki sana, fika dukani posta au piga mamba 0627774377
Bei zinaanza 75,000Tshs mpa 320,000Tshs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.