Shonza happy new year!
Hongera kwa kutambua fitna anazofanyiwa Mwigulu na kuweka msimamo wako wazi ila nazani kauli za Mwigulu kuwa katokea familia maskini kaanza kuonja machungu maana ndani ya CCM bila kuwa na genge LA wezi kukusuport kwa wakubwa auwezi kudumu kamwe.
Uwezo wa Lowasa ktk nyanja zipi na Bungeni ni Bubu wakupindukia but big up sana ulichoandika ni wenye brain zao tu na wasioshikiwa akili zao wanaweza kukuelewa na kikuwa ni Watanzania kuelewa chama chetu CCM tumejaa wezi na mafisadi na mkitupa nchi hii tena ni mwendo wa kuligawana Taifa.
Pasco......
Ni miongoni mwa moderators wa Jf mwenye kukipigia chapuo chama chake cha CCM,tambueni kwa wale mnaotegemea usili wa topic mnazoweka hapa kuvujishwa na mtu kama huyu.
Pasco unaendelea kuifanya Jf kuwa sehemu ambayo siyo salama kabisa na mm ni miongoni mwa watu wenye hofu na ww....!
Prof Kitila Mkumbo?......
Huyu jamaa kweli ameanza kukengeuka yani LOWASA na uchafu wote eti leo awe rais wa Nchi hii???
Njaa mbaya aisee hela za wizi Watanzania wameamua kuzigawana maana ilikuwa Zitto sasa Mkumbo nae kaamua kuzichukua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.