Dah ungeaanza na masilahi ya walimu wakati watoto wetu hawa maskini wanakaa chini!! afu makatibu kata wana fedha gani za kutengeneza madawati?? Dah huyu ndiyo Lowasa safari ya matumaini
Nilichobaini ni kuona chama kikubwa kama CDM kutumia masheikh na maaskofu uchwara na kuacha kutumia viongozi wa wa dini wenye maadili katika madhehebu yao. Mathalani nilishangazwa pale sheikh alipotoa dua kwamba "wazibe mkojo" pia ","wapate kansa ya damu" kwa hakika huu ni udhalilishwaji wa...
Mh. Mwigulu uzi huu wa chama (gwanda) acha kabisa umetulia unanikumbusha vitu alivyokuwa anaweka Samora Machel, huu ndiyo uzi siyo yale magwanda ya mgambo wa katiakoo
Duh hii nyomi ni hatari ya bongo cha mtoto, ivi Mbeya ndiyo kwao na Mwakyembe ambaye na wenzake walizima kuchotwa mabillioni ya Richmond na huyu fisaidi na team yake ya kina Rostam mpaka kufikia hatua ya kutaka kumtoa roho kwa ajari ya gari na baada ya kushindwa jaribio hilo wakampa sumu na...
Hawa wavaa shuka badala ya suruali mabarabarani hadi mahoteli ya kitalii dhambi ya ukabila itawatafuna tu na cku huyo wanayemtumainia akisema CHADEMA C BABA YANGU WALA MANA YANGU ndo watajua kuvaa suruali
mwinukai
Kwa kingereza hiki ni seeheeda. Ikumbukwe jamvi ni kwa ajili ya wanajamii tena wa kawaida sana sasa uzi kama huu wa kimombo ni kwa faida ya nani... tukienzi kiswahili kuelilmisha jamii
Kwa hakika sasa imenifumbua macho, kumbe ndo maana bodaboda walikusanywa pale Leaders na EDO na kuwaahidi kuwaundia ushirika ikiwa ni pamoja na kuwanunulia kila mmoja bodaboda yake lengo ikiwa ni kuwatumia ktk safari ya matumaini, ule usemi wa bb wa taifa wa "Muogope kama ukoma" unazidi kutimia...
Subirini BVR ya 2020 mtakaposikia toka kwa mh. ya kwamba CHADEMA SI MAMA YANGU WALA BABA YANGU gia ya angani ataweka namba 3 safari ya matumini huyo ACT kwa zzk ndo mtajua mbivu na mbichi maana matumaini hayana kikomo mwisho wake kuzimu
Acha media zipige pesa kama bodaboda walivopiga mafuta ya kununuliwa jana, full tank, buguruni-nec-ufipa, coverage ya Magufuli iko wazi kwa watz.. mtu ukizoea kula nyama ya mtu katu utaacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.