Recent content by Jirushe

  1. Jirushe

    Serikali tatu haiwezekani Tanzania

    Ndugu wana JF. Nnimekaa na kutafakali kuhusiana na hoja ya kuwa na Serikali tatu nimeona ni kama haiwezekani kwa sababu zifuatazo:- 1. Kuhudumia Serikali tatu itakuwa ni mzigo sana na haitaleta tija katika Taifa hususani katika kuhudumia Marais wastaafu,Mawaziri wakuu wastaafu na Makamu wa...
  2. Jirushe

    Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

    Nakupenda Nchi yangu Tanzania.
  3. Jirushe

    Picha ya Bendera ya Tanganyika kwa ambao hatujawahi kuiona

    Mungu ibariki Tanzania
  4. Jirushe

    Kundi la G55 walioidai Tanganyika mwaka 1993...

    Mimi nashauli hivi:- Rais wa Jamhuri wa Mungano awepo, Tanganyika na Zanzibar kuwe na Magavana au Proviency Gvnt kama ilivyo Marekani. Kuwa na Maraisi watatu dunia itatushangaa sana. Tuwe na magavana wawili tu yaani Tanganyika na Zanzibar ili kupunguza gharama vinginevyo itakuwa fujo na...
  5. Jirushe

    Kundi la G55 walioidai Tanganyika mwaka 1993...

    nakumbuka hata mzee msekwa alikuwa ktk kundi hilo,
  6. Jirushe

    Suluhu ya kudumu ya kuwafanya mawaziri kuwajibika hii hapa

    Ndugu Watanzania, nawashukuruni saana kwa kuniunga mkono katika hota yangu hapo juu, naomba tusife moyo Mungu yuko mbioni kuliinua Taifa, naomba sana tumuunge mkono Mhe. Rais wetu kwa jitihada kubwa anayoifanya katika kuleta mabadiliko makubwa katika nchi yetu, na yeye kama Rais wetu ameliona...
  7. Jirushe

    Suluhu ya kudumu ya kuwafanya mawaziri kuwajibika hii hapa

    Nakushukuru saana mkuu kwa kuniunga mkono, hakika Watanzania tumekua waelewa sana. ipo siku Mungu atalibadilisha Taifa letu, naomba saana tusife moyo. Asanteni sana
  8. Jirushe

    Suluhu ya kudumu ya kuwafanya mawaziri kuwajibika hii hapa

    Ndugu wana JF, Nimekaa na kutafakari kwa kina sana, nini chanzo cha mawaziri wetu kushindwa kuperfom vizuri katika wizara zao? Nimegundua kuwa kama nchi inapaswa kufanya mambo yafuatayo:- 1. Kuwa na State Policy ambayo inakuwa ni DIRA kuu ya kuendeshea serikali kupitia Baraza la Mawaziri. 2...
Back
Top Bottom