Recent content by JINOME

  1. J

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Nimezungumza na hawa Wazee Wasomi na Maarufu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nikitaka kujua nini hasa sababu ya Ukimya wao katika awamu hii ya tano. "Mimi ni Msomi, napaswa kutumia usomi wangu kusimama katika ukweli, naridhika na jinsi Rais Magufuli anavyotekeleza...
  2. J

    Upuuzeni uzushi kuwa ndege ya Tanzania inauzwa nchini Kenya

    HILO LINAWEZEKANA, endeleeni kuhusiana lakini kikubwa ukweli tumeshaujua, siyo yale Matango pori mliotaka kuwalisha Watanzania na Mange KIMAMBI wenu.
  3. J

    Upuuzeni uzushi kuwa ndege ya Tanzania inauzwa nchini Kenya

    Wewe si kilaza , utajuaje mambo ya biashara na uchumi?
  4. J

    Upuuzeni uzushi kuwa ndege ya Tanzania inauzwa nchini Kenya

    Asante kwa ufafanuzi maana Chamdomo walikuwa wameanza kutudanganya
  5. J

    Upuuzeni uzushi kuwa ndege ya Tanzania inauzwa nchini Kenya

    Unauliza swali halina kichwa wala miguu
  6. J

    Kazi iliyofanyika tetemeko la Kagera ni kubwa, kuilinganisha na msaada wa Msumbiji, Malawi na Zimbabwe ni upuuzi

    Naona kama wewe ndo hujamuelewa, alichokiandika kimeeleweka mbona?
  7. J

    Kazi iliyofanyika tetemeko la Kagera ni kubwa, kuilinganisha na msaada wa Msumbiji, Malawi na Zimbabwe ni upuuzi

    Kati ya awamu ambayo Wanasiasa wa upinzani wamekuwa na cheap politics ni hii ya JPM. Wanatapatapa mpaka wanatia huruma
  8. J

    Baada Ya Seif Kuhamia ACT-Wazalendo, Wameanza Kutembeza Bakuli, Nini Maana Yake

    Hizo hela zitatafunwa na watu wawili, ZITTO na Maalim Seif.
  9. J

    Mke wa Nassari amejifungulia Marekani ili mtoto apate uraia wa huko, Nassari ni mwenzetu kweli?

    Hakuna mtu ambaye hajali familia yake, huwezi kudharau kazi, lazima ufuate taratibu za kulinda kazi yako katika kuijali familia.
  10. J

    Mke wa Nassari amejifungulia Marekani ili mtoto apate uraia wa huko, Nassari ni mwenzetu kweli?

    Hawa Wabunge wanaotamani maisha ya ughaibuni hawawezi kujua shida za wananchi
  11. J

    Kuanguka kwa ndege ya Ethiopia, Tanzania tusisikilize uongo kuwa Serikali haijachukua hatua

    Alivyoandika mleta mada ni sahihi, na hakuna ndege za aina hiyo zinazotumia airspace yetu.
  12. J

    Hotuba ya Mapendekezo ya mpango wa Maendeleo wa taifa 2018/19 Na mwongozo wa maandalizi Ya mpango na bajeti 2018/19

    Miradi iliyotekelezwa 2018/2019: 1. Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Standard gauge 2. Kufua Umeme wa Maji-Rufini- MW 2,115 3. Ununuzi wa NDEGE 3, Boeing 787-8 Dreamliner na Airbus A220-300 mbili. 4. Kusambaza Umeme Vijijini na Makao Makuu ya Wilaya 5. Miradi 1,659 ya Maji Mijini na...
Back
Top Bottom