Recent content by Jini mtuu

  1. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    [emoji1787][emoji1787]
  2. Jini mtuu

    Jinsi ya kuukaribisha umasikini

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Ndio hu NI uongo japokua sikua na uwezo wa kutengeza movie
  4. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Tuvuliane manaa ninamiokono mi3
  5. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Endelea tuu kusoma haishi leo hi NI stori ya kweli nawisho nitakuja mnione sura yangu live
  6. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Inasubiri wenye kisukali
  7. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Hiii stories anza kuifuatilia Sasa maana haishi Leo Wala kesho
  8. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Umekumbuka Nini mpaka umecheka Tena hicho kipande[emoji1787][emoji1787]
  9. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    SEHEMU YA TATU.. ******************** Chafyaa niliyo ipiga ilizua mtafaruku wa mwingiliano wasijue imetokea wapi.. Hali ya kua wote walijua kua hapa Kuna mtu ambae hakustahili kuwepo katika eneo lile. Walianzaa kutafuta.. Kwa kutumie singa zao huku wakichapa hewani . lakini safarii hi...
  10. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    NILIVYO PEWA MASHARTI NA MAJINI. PART 2. *********** wakati bite alipo kua haonekani sehemu ile ya kumaliza Kona .. Nilishaangaa kwa mshangao mkubwa hata nikarudi nyuma mbio maaana nilihisi mtego. Na njia nikabadilisha kabisaa.. ile tuliyo niliiicha na kukimbilia njia nyingine...
  11. Jini mtuu

    Nilivyopewa masharti na Majini

    Naitwa Mohammed bin issa. Limo.(ubini) Mshangao wa jina la ukoo huu sio wewe to unae shanga kila Alie kua na elimu ya tafasiri ya majina na asili yake aliniuliza maswali . Imekuaje wewe unaitwa limo wakati jina lako na baba yako wote inaonekana ni waislamu ..?? Au baba yako alibadilisha...
  12. Jini mtuu

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Hiyo NI flat nche 55.. new model From Mr UK Paris ya Antananarivo Campuni yake inaitwa Taiwan marshoarts na Moto combat iliyopo kule Japan.. nchini Mexico.. vipi unaitaka!??
  13. Jini mtuu

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Viwanja na Mashamba. Tupo Dar

    Samahani ndugu mtoa thread kwani wewe NI muhusikia halisi au dalali??
Back
Top Bottom