Nipo katika wakati mgumu Sana kisaikolojia sielewi yaani nifanyaje ,
Mwaka 2017 Kuna binti mmoja naona ndo chanzo Cha mm kuwa hivi nilivyo leo
Huyu binti Kuna siku alikuja gethon bila hata kumuita akajiweka katika mazingira fulani hivi mpaka nikashawishika kufanya naye mapenzi Tena bila hata...
Ahsante mkuu maana nimeona sehemu sijui inabidi uwe na credit tatu na anko hapo anazo mbili tu, vipi kuhusu mihula yao Yani kumaliza course moja kwenda nyingine interval yake ikoje?
Habari wakuu kwa matokeo haya
English D
Kiswahili D
Civics F
Biology D
geography C
B.math C
History D
Four ya 27
Hayo matokeo ni ya 2012 ,Sasa nataka kujua Kama ataweza kusoma CPA na aanzie wapi na itamchukua muda gani kumaliza na vipi kuhusu ada
Pia Kama Kuna vyuo vinavyotoa hio course...
Tulia kwanza dogo ,au umefikiri kila kitu kinahitaji porojo eti , assume ndo ww hujala 2 days afu unataka mtu awe patient for what ko mtu afe njaa kisa kapata ajira ya kudumu ,
Jiangalie unaweza kufanya uko smart lakini kumbe wewe ni zero tu, ajira zimetoka mmpewa only 2 weeks muwe mmeriport, unajua nauli kutoka songea to kagera ni Bei gani , unajua nimetumia sh ngapi kukamilisha utaratibu wote pale halmashauri, baada ya hapo ilitakiwa wenyeji wanipe ushirikiano lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.