Recent content by Jimmy mayunga

  1. Jimmy mayunga

    Wanawake siku hizi viuno vyenu vimekuwa vigumu sana

    Kwani huyo anayestahili mwingine ndo hatokuwa na nyumba ndogo ??
  2. Jimmy mayunga

    I wish I had a husband already

    Kuwa mpole aseee ....mambo mazuri hayataki haraka ,ndo umegundua Sasa hivi kuwa umri unaenda ? Hatua ya urafiki huwa hairukwi hata mkioana kesho haimaanishi kuwa hiyo hatua imerukwa ....kumbuka kipindi Cha urafiki kinajumuisha mambo mengi ikiwemo kujuana kwa undani kwenye mambo / vitu vingi...
  3. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Dini ilileta vip ahueni wakati Hadi leo mkristu hawezi kuolewa na muislam ,watu wanajitoa mhanga wakijipa moyo kuua makhafir (ambao si wa dini yao ) unahesabiwa haki ,... Bado mkristu na muislam hawaezi kushirikiana kwenye mambo mengi kwa sababu ya tofauti zao ,mmoja anaona ndio Ana haki na pepo...
  4. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Njoo na hoja .... Leta usalama wa dunia ukiwa na dini na Mimi ntakuletea usalama wa dunia bila dini ....
  5. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Kabla ya dini dunia ilikuwa salama kuliko tulivyo Sasa .....dini zimeleta chuki ,watu wanatengana na kuishi bila upendo Kama si wa dini moja n.k Imagine Africa ingekuwa inaishi kila jamii kwa tamaduni zake as it used to be kabla ya dini kutia nanga
  6. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Mwanga ulikuja Baada ya kuumbwa jua ,mwezi na nyota ....kabla ya hapo ilikuwepo nuru (according to biblia) Swali: walijuaje siku imeisha na ku count kuwa Ni siku ya kwanza ama ya pili kwa uwepo wa nuru na Giza pekee kabla jua halijaumbwa ? Maana tunajua baada ya jua kuwepo ilikuwa rahisi...
  7. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Ndio mnapokimbiliaga hapa Story ya adamu na Eva Kuna manabii wanasema Lile tunda lilikuwa Ni tendo la ngono na wanaendelea kusisitiza Hadi Leo mungu hapendi Hilo tendo maana ni kujitia unajis hata ukifanya na mume ama mkeo (na Kuna namna ya kujitakasa ili uwe msafi according to Bible ) Kuna...
  8. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Hutaki kondoo wapya uende nao mbinguni ?? hahahhahahhahahahhahaha
  9. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Nilikuwa nasubiri mtu agusie hapa kidogo .....Asante kwa kuliona hili mkuu .... Na kila mtu arudi kwenye asili na tamaduni za mababu zake tu ...
  10. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Kabla dini haijaingia Africa mababu zetu walikuwa wanaongozwa na Nini na kukiishi ? Hatuhitaji biblia Wala Quran kutuongoza kuishi ... Mtoto anapozaliwa na mama kumuwekea nyonyo anyonye kile kitendo Cha kufyonza maziwa Yale hafundishwi na yeyote It's all about nature
  11. Jimmy mayunga

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Safi ....nilikuwa nawaza hivi pia
  12. Jimmy mayunga

    Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

    Wanataka sadaka za kondoo hahhahahahahhhahaah
  13. Jimmy mayunga

    Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

    Mkuu nakuelewa mno .... Dini Ni taasis za watu kutimiza Target zao .... that's all
Back
Top Bottom