What matters mostly ni ajenda aliyoi advance Gwajima kwenye jamii. Umaarufu wa Gwajima umepanda sana na actually amepunguza maadui wengi wa kisiasa, kiimani na kijamii aliyokuwa nao kabla.
1:Hoja yake ya watu kutekwa, kuuliwa na kuteswa kinyama ni jambo linalotokea. Tujadili hoja yake bila...
Nilisikiliza na kuona hiyo press ya Boni mwangi na Agather, ni ya aibu san kwa nchi na itaibua hasira kali kwa wakenya. Hivi picha ya wakenya kwa Samia itakuwaje siku samia akienda kenya kwa vikao vya jumuia ya Afrika mashariki cku wakikutana kenya. Juzi Rais wao kapigwa kiatu adhalani...
Ni wa ovyo kabisa. Gwajima anasimamia hoja, huyo yuko anandik upuuz. Wenye akili zao upuuza ujinga wak kitambo. Ametafuta uteuz kwa staili za mapambio kwa watawala tang enz za Jpm mpk mama hakuna. Sas pasco kazeeka san na njaa zake. Pole yake!!
Acha ujinga wa nadhalia. Hoja ya Gwajima ni utekaji na kuuwa wakosoaji wasio na hatia. Swali je kuna UTEKAJI NA MAUAJI. Mjibu Askofu Gwajima ktk ilo.
Wew unafurahishwa na utekaji na mauaji. Ukitekwa utajisikiaje.
Gwajima did well his part as a citizen of Tz. Wew lako kemeo liko wap au uchwala...
Tarimba haufai kuwakilisha watu. Haujajibu hoja ya kutekwa watu unapalamia hoja za ovyo. Gwajima alitoa mfano mpk mwanae Jordan iweje ujipe uchawa kwa raisi, wew bora mwachie jimbo Azan umeshindwa kila kitu kachezrshe kamali zako ndo saiz yako
Hivi kubinafsisha bandari gati 0-7 ambazo ndo zinaongoza kuingiza hela kwa miaka 30 si ni biashara kichaa.
1: TPA juzi kati ilisema imeingiza bil 286 kwa mwak mmoja tu.
2: DPW imenunua kwa dolar 500 tu sawa na Til 1.2
3: Kama TPA iliingiza bil 286 kwa mwaka mmoja, basi inaitaji miaka 5 tu...
Achen ujinga, mambo ya ndani ya familia ya mtu kuihoji ni utoto na ujinga. Leo kuna watu wanaishi Dodoma kikaz na familia zao zinaishi Dar, hii inatofauti gan na issue ya Lema. Acha kujadili personalities jadili issues. Gambo unasumbuliwa na ugonjwa wa kisiasa (election fever)
Anayo matatizo...
Nasikitika kusoma huu upuuzi wa mtu aliyeonja shule japo kwa shahada moja. Eti opposition waache uchaguzi, wajaribu 2030. What a rubbish advice.
Any registered political party lazima;
1: Ishiriki uchaguzi. Lengo ni kujipima kisiasa dhidi ya vyama vingine. Uungwaji mkono, kuuza sera, itikadi na...
NADHANI SABABU NI
1: Hakuna uwanja wa ndege mkubwa wa kutua ndege kubwa ambazo ni za Maraisi wageni. Kwa sabab za usalama hauwez kumbadilishia za kwetu zimpeleke Dodoma.
2: Pia swala la Hotel za nyota 5. Raisi wa nchi kama Poland wenye uchumi mkubwa wa 21 duniani Dodom unamlaza wapi. Hotel...
Anatafuta uteuzi wa naibu waziri kwa nguvu zote. Angetafuta wachumi waampe darasa kwanza juu ya ili kisha akalopoke huko alipo.
Ningekuwa na mda ningempa takwimu kubadili kwa nomination moja tu, inaghalimu taifa shs ngp?
Mzabuni aliyeshinda kutuchapishia sarafu ( currency) yetu ni Ujerumani...
Tuliza akili mkuu, kufanyika ni tukio ( event) kufanyikiwa ( success) na kukamilisha lengo. Chadema walifanikiwa sababu wakifikisha ujumbe UN. Bahati mbaya haujui UN inafanyaje kazi. Ina jumuia zaidi ya 12 chini yake zonazofanya evaluation kwa kila nchi mwanachama wa UN. Taarifa zake zinatumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.