Kuna mtu yeyote mwenye ujuzi na hii mobile App ya inauzwa.com ya android? Ni hatua nzuri jamaa wamefanya ila app yao inansumbua kidogo kwenye techno yangu nkitaka kuweka tangazo, sijajua kama ni simu au ni app yenyewe ndo inasumbua.
Kwa mlio ijaribu nipeni feedback maana me ni mdau mkubwa wa...
Laptop waweza pata kwa bei nzuri sana, Binafsi napenda Apple Macbook ila ni gharama kidgo. kwa laptop used za bei nzuri waweza cheki kwenye hii tovuti www.inauzwa.com nimeona bidhaa nyingi humu kwa bei nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.