Chukua peleka vyote vya mwaka Jana kwa mkurugenzi kisha mkurugenzi atakuandikia kipya cha kukumbushia so utakuwa na vibali vitatu...viwili vitafanana ila vitatofautina maelezo ...akikisha unaambatanisha na nalala ya barua yako ya zamani
Nilibeba doc zangu zote...yaan barua iliyopitishwaga na vibali kutoka pandezote ..nikaenda kwa afisa tawala mkoa ..wakaniambia niende kwa mkurugenzi wangu ataniandikia kibali kipya cha kukumbushia ..nikweli ndivyo ilivyokuwa..nikambatanisha barua na vibali nyooote 3..nikaleta kwa katibu tawala...
Usianze km ulipitisha ndio walivyosema labda upoteze baadhi ya doc ...km unazo toa copy pitisha kwa mkuuwa kituo afisa Elimu mkurugezi wako kisha peleka tamisemi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.