Si ajabu kuwa na double ajent,kwa rushwa iliyotamalaki baadhi ya maeneo.watakuwepo kwa maono yangu.Watakuwa wanajua kinachoendelea au kuna baadhi ya watu hawapendi nchi inavyokwenda labda kwa sasa.
no sio kweli gari nyingi zinazokwnda arusha na moshi bado zitatumia Chalinze to Segera,ila za Tanga moja kwa moja toka dar ndio zitapita ruti hiyo pia huwa wanaangalia na umbali pia
Yes naelewa kinacoendelea ndugu ni kweli Manusco wanahusika pakubwa na ndio maana Serikali ya DRC imewaambia waondoke mwisho ni December 2024 na baadhi ya kambi wameshakabidhi kwa serikali ya DRC kwenye hilo jimbo chini ya Gavana Cirimwani.Pamoja na yote serikali ya Felix Tshekedi inajitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.