Recent content by jibazo

  1. J

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Duh mzee unalipia speed ipi hadi ukapewa NOKIA FastMile 5G Gateway 3.1??
  2. J

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    TCL smart 4k tv inch 50' available Location Arusha Njiro Ipo full box Used for few days Going cheap Njoo inbox for more info and photos
  3. J

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habari ya leo na poleni na majukumu wana jamvi, Mimi ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa jijini Mbeya, ila tangu nihamie hapa kutoka Mtwara ninawashwa mwili mzima vibaya sana, hii hali hutokea pale joto la mwili likipanda, kama nikiwa nakula, nikijifunika blanketi, na hata nikitembea na hasa...
  4. J

    Mara ya mwisho kulia (kilio) ni lini? Ilikuwa kwa jambo gani?

    Last week, nilikua naangalia movie ya THE IMPOSSIBLE yan nimelia kama toto
  5. J

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Mwenye tv kuanzia inch 40 LED brand yoyote nzuri na iwe slim nataka tufanye exchange na laptop yenye specs zifuatazo Dell Latitude E7240 Core i5 Ram 4 GB SSD 128 Very Portable and Slim npo dar
  6. J

    Dell Optilex 7050

    Dell Optiplex 7050 Gaming Machine Core i7 7700 Ram 8gb HDD 1TB Nvidia gt 630 ipo vizuri kwa gaming na video editing Njoo inbox na offer
  7. J

    Movie gani ya mahusiano, mapenzi imeshawahi kukufurahisha?

    naelewa mkuu ila kuna watu wengine wanaielewa movie kwa yule muigizaji na sio muongozaji dats y nkaweka hvo ila nashukuru pia
  8. J

    Movie gani ya mahusiano, mapenzi imeshawahi kukufurahisha?

    PS I Love You by Gerard Butler Me Before You by Sam Claflin Love & Friendship by Kate beckinsale
  9. J

    Bei ya Tecno phantom 6 & 6+

    ipo hapa tecno phantom 6 Tsh.480,000/= full box one moth used
Back
Top Bottom