Recent content by Jibaba277

  1. Jibaba277

    Kama unahitaji Bidhaa mpya na Used

    hyo bidhaa yako hatar
  2. Jibaba277

    Kama unahitaji Bidhaa mpya na Used

    Hizo speaker zipoje mkuu
  3. Jibaba277

    Magufuli ana ubavu wa kuvunja Bunge kama anavyodai?

    Mmh hyo ibara ya ngapi inayosema kuwa rais ni sehem ya bunge. Anakuwaje sehem ya bunge wakat hatokani na wabunge? Naomba kueleweshwa kidogo hapa mkuu! Asante
  4. Jibaba277

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Fikiria kwanza kabla ya ku comment...we unazani hao chama tawala wao watapata wapi pesa za kuendshea chama chao? Si ndo wataiba sana serikalini
  5. Jibaba277

    Mtazamo: Kuhusu MCC kusitisha msaada wa MCC 2 na shughuli zake Tanzania

    Misaada sio muhimu kwetu ila kwa hili la ubakaji wa demokrasia uliofanyika ZnZ ni uroho wa madaraka. JPM sio kama alkuwa hajui kuwa watapora demokrasia Znz HAPANA, alilijua fika na madhara yake pia aliyajua na hivyo alituandaa kisaikolojia kuwa hapendi msaada hapo tusiangalie msaada tu mwisho wa...
  6. Jibaba277

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Pesa ipi sasa ionekane mtaani? Wakati hizo za msaada na hizo wanazokwiba hao mabwanyenye ndizo zilizokuw zinazagaa mtaani coz mijizi ilikuwa na uhakika wa kuiba kesho yake tena. Kwa sasa kila pesa inayopatkana ina wekwa kwenye matumizi muhimu na serikali ya JPM. Mtaani hakuna excess...
  7. Jibaba277

    Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

    Dah we jamaa. Huyo hakimu anaitwa nani? Halafu hao mahakim walikuw w kpindi hcho sio karne hii
  8. Jibaba277

    Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

    serious?? Eti lengo ni kuwatisha mahakimu. Hiv aliyekuambia hakimu anatishwa na wingi wa watu nani? Acha kukurupuka
  9. Jibaba277

    TAKUKURU yaanza kuchunguza jinsi Waziri Lukuvi alivyokataa rushwa ya bilioni 5

    Takukuru si mngeanza na huyo bwana February marope...maana kimambi alisema anaushahid kabisa. Wachen maigizo
  10. Jibaba277

    House4Sale Nyumba inauzwa Ifakara

    Nyumba inauzwa ipo maeneo ya ifakara uwanja wa taifa karibu na Birgith english medium school. Iko katka hali nzuri Ina vyumba 3 vya kulala+ sebure+ dinning+store 20million Call 068 301 0560 kwa manunuzi
  11. Jibaba277

    UVCCM wataka Rais Magufuli Amfukuze kazi January Makamba

    Kwani Mheshimiwa Rais hawezi fanya maamuzi kuhusu tuhuma hizo za February hadi ashinikizwe??? Maana kutuhumiwa tu inatosha kumfanya kiongoz kama yeye kutumia busara kw kujiwajibisha kabla hajawajibishwa. Hayo ya february yalitokea kw mama tiba kipndi cha escrow akawajibushwa. Au february ana...
  12. Jibaba277

    Muitaliano/Vicenzo Cozollino akanusha kumtetea Makamba

    Its about time.. Tutajua nani muongo na nan mkweli
  13. Jibaba277

    Tetesi: Mzungu/Muitaliano wa January Makamba kuongea na waandishi wa Habari kesho Saa Nane, Hyatt Hotel

    Hii series itakuw tamu sana aisee! Ila aliyetoa na kupokea rushwa wote washughurikiwe ipasavyo
  14. Jibaba277

    Viwanja vinauzwa - Kimbiji

    Kimbiji kw Moris ni baada ya jeshin
Back
Top Bottom