Kwa miaka mingi Sanaa ya Tanzania imekuwa ikikuzwa na kuendelezwa kwa kile kilichoitwa kipaji pekee, hili limefanya sanaa yetu isimame na isisonge mbele kulingana na mabadiriko ya sayansi na teknolojia, mbaya zaidi watu waliowahi ingia katika sanaa hasa hasa zinazohusiana na utaalam mkubwa kama...
TUNATARAJIA KUWA NA SHORT COURSES ZA FILMS MKOANI MOROGORO KWA MUDA WA WIKI TATU, KOZI HIZO ZITAKUA NI ACTING,CINEMATOGRAPHY NA SCREEN PLAY WRITING, MAHALI NI KATIKA CHUO CHA MAGADU ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS TRAINING INSTITUTE KIKO NJIA YA KWENDA MZINGA,KINAANGALIANA NA CHUO KIKUU CHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.