Recent content by jgmariko

  1. J

    Kanisa lanusurika kuteketea kwa moto Zanzibar asubuhi ya leo...

    Naona sasa hatuitaji maneno mengi,,ni vitendo tu vinatakiwa kwa sasa..kukesha na kuomba Mungu atuepushe na Haya.
  2. J

    Mauaji ya Padre Zanzibar: Rais Kikwete awataka wakatoliki kutulia, linashughulikiwa

    kwa nini watu wanakuwa na negative idea tuu?
  3. J

    PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

    Nafikiri ya jeshi tuwaachie jeshi,aliyejitoa katoa ya moyoni,ila niulize Nassari toka tumekuchagua mbona umetutelekeza? Tumebakia kukusikia tu,jimboni kwako hutembelei vijijini ukafahamu yanayojiri!! au ndo tuvute subira? 2015 ni karibu jitahidi ufanye la kujivunia..
  4. J

    Profesa Shivji: Sijawhi tamka Muungano uvunjwe- Tanzania Daima lamuomba radhi

    Tuna Tanzania moja..hii misimamo na maneno yasiyosaidia chochote ya nini,tuangalie namna ya kuimarisha uchumi wetu maana Muungano sio unaosababisha tukabaki nchi masikini..tujipange upya kifikra.
  5. J

    Rais wangu, wananchi wako hatujakutuma kwenda kufanya kazi hizi!

    Watanzania wenzangu Tuombeni Mungu sana kuhusu mustakabali mzima wa nchi yetu..hili vuguvugu lisije tupeleka tusipo pataka wala kupazoea,kwa kuwa najua kuna wasiotaka kusikia amani wala maendeleo Tanzania.
Back
Top Bottom