kitendo cha raisi wa jamuhuri ya tanzania mheshimiwa kikwete kurudisha muswada wa katiba mpya bungeni ujadiliwe imedhihirisha uzalendo wake kwa watanzania naamini kabisa kikwete hana hata chembe ya UCCM ana Utaifa zaidi.huenda watanzania wakamkumbuka pamoja na madudu mengi ambayo yamefanyika...
Kibonde,Gerald hawa wote vichefu chefu kabisa wanatumiwa..mnaiharibu redio ya watu fanyeni tafiti mpaka sasa mmepoteza sana mzuto kwenye masikio ya jamii.
humu tu JF kuna zaidi ya Registered members ana unregistered members zaidi ya 30,000+ambao karibu 98% ni wanamaudhui au michango inayoashiria ni CDM..Hizi zote ni kura kwa CDM
mimi nimewachoka kabisaa hawa jamaa(zaidi kiboned na Gerald Hando)Clouds ilikuwa ni redio ya watu lakini baada ya kuanza kutumiwa watu wameshaanza kuwahama.yeye ni nani atoe conclusive statement kama hiyo?tunawafundisha nini watoto wetu wasiojua historia ya nchi hii?
Wana jamvi,haya ni maoni na mtazamo wangu:
Nionanyo mimi na kwa utafiti mdogo tu nilioufanya katika majimbo mbalimbali kuna uwezekano mkubwa sana zaidi ya asilimia 90 ya wabunge wa CCM hawatarudi tena bungeni;baadhi ya majimbo machache tu ambayo nimejaribu kufanya utafiti mdogo ni...
Nadhani mtoa mada unafanya utafiti au umetumwa na membe mwenyewe..amekulipa kiasi gani kwa kazi hii?mnajisumbua kuandika eti huyu ana faa yule hafai..njia nyeupe kwa CDM 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.