Recent content by JF FARMS

  1. J

    Bodi ya Mikopo (HESLB), mfumo unasumbua kujaza fomu online

    mimi nina shida kwenye PREMINARY INFO, NIMEAPPLY WATU WAWILI LKN ZA MMOJA ZIMEENDA KWA MWINGINE ILA KILA NIKIEDIT NAZIKUTA IVYO NISAIDIE PLZ
  2. J

    Msaada katika kuomba mkopo 2023

    jamani tusaidizane kuhusu demographic information na Birth Verification number kwa upande wakuomba mkopo unaipataje hyo birth verification number
  3. J

    Amka kijana, jitegemee

    ndyo Yah kilimo ni kikubwa ila ukianza ufugaji mdogo mdogo miezi mitatu unakua kutoka sehmu uliyokuwa hadi nyingine..usiogope kufanya kitu ww anza kukifanya utafika sehmu unayohitaji
  4. J

    Mambo 3 ya kuzingatia katika biashara

    ulichokisema ni kweli na kwenye mtaji sio mpaka uwe na mamillioni ila kidogo tu unaanza
  5. J

    Amka kijana, jitegemee

    Tuzidi kupambana na Tumuweke Mungu katika maisha yetu.
  6. J

    Amka kijana, jitegemee

    Niliacha kulaumu system ya nchi na kujiona kuwa nina degree nikaanza kupamban bila ya kujali degree niliyonayo
  7. J

    Amka kijana, jitegemee

    Kwa malengo yangu bado sana ila hela ya kujikimu na Fungu la kumi napata
  8. J

    Amka kijana, jitegemee

    Nilienda kwa mama mmoja nikakuta anafuga kuku nikamwomba anipe kuku watano, jogoo mmoja na mitende minne na nikaanza kufuga kuku kea matarajio ya kuzalisha vifaranga 100 na niliweza 2020 na saivi nafuga nguruwe na kuku
  9. J

    Amka kijana, jitegemee

    Naamka asubui naangalia wallet yangu kitandani " dah! amna kitu, Mungu wangu nimekosa nini mimi?". Hii ilikuwa sentensi yangu kila siku nilipokuwa nikiamka na nililaani sana mfumo wa nchi hii kama kijana niliyesoma na mwenye Stahasha ya Biashara ya Uhasibu( B.A. BBA-Acoounting). Nililaumu...
  10. J

    SoC02 Tanzania yangu, mazingira yangu

    Nchi yangu, Tanzania nakupenda sana ila tunza mazingira yako na watu wako.
  11. J

    SoC02 Tanzania yangu, mazingira yangu

    Tanzania, Tanzania nchi nzuri na inayovutia kila upande ikiwa na watu wenye upendo, furaha na amani. Asubui ndege uimba kwa sauti mubashara, kaskazini wanyama na milima ya vutia, vilima na bahari vyenye ubaridi na upepo mwanana vya pendeza mbele za macho ya watu. Tanzania nchi yenye milima...
Back
Top Bottom