ndyo
Yah kilimo ni kikubwa ila ukianza ufugaji mdogo mdogo miezi mitatu unakua kutoka sehmu uliyokuwa hadi nyingine..usiogope kufanya kitu ww anza kukifanya utafika sehmu unayohitaji
Nilienda kwa mama mmoja nikakuta anafuga kuku nikamwomba anipe kuku watano, jogoo mmoja na mitende minne na nikaanza kufuga kuku kea matarajio ya kuzalisha vifaranga 100 na niliweza 2020 na saivi nafuga nguruwe na kuku
Naamka asubui naangalia wallet yangu kitandani " dah! amna kitu, Mungu wangu nimekosa nini mimi?". Hii ilikuwa sentensi yangu kila siku nilipokuwa nikiamka na nililaani sana mfumo wa nchi hii kama kijana niliyesoma na mwenye Stahasha ya Biashara ya Uhasibu( B.A. BBA-Acoounting). Nililaumu...
Tanzania, Tanzania nchi nzuri na inayovutia kila upande ikiwa na watu wenye upendo, furaha na amani. Asubui ndege uimba kwa sauti mubashara, kaskazini wanyama na milima ya vutia, vilima na bahari vyenye ubaridi na upepo mwanana vya pendeza mbele za macho ya watu. Tanzania nchi yenye milima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.