Wimbo wa maridhiano umekuwa ukisikika masikioni mwa Watanzania kabla na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Hata hivyo, hadi sasa umebaki kuwa kitendawili kinachohitaji kuteguliwa.
Wapo walioimba wimbo huu kabla ya uchaguzi. Wanaharakati, baadhi ya viongozi wa dini na wanasiasa...
Hakuna shida kabisa ikiwa utazingatia matumizi sahihi na utunzaji mzuri. Sasa unakuta safety plug imeharibika mtu anajiona ana akili kuliko waliotengeneza anaenda kuziba tundu kwa kuchomelea
Ni kweli kumekuwa na maoni haya kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu pressure cooker zinazolipuka, cha msingi hapa ni kuwa makini kujua brand nzuri/bora kabla ya kufanya uamuzi wa kununua.
--
Kampuni ya SharkNinja imeamua kurejesha zaidi ya pressure cookers milioni 2 zilizouzwa Marekani na Kanada...
Pressure cooker ni moja ya kifaa muhimu kwenye mapishi kinachosaidia kupunguza muda wa kupika ikitumia mvuke wenye shinikizo kubwa kupika chakula kwa haraka kuliko sufuria za kawaida.
Faida kubwa ya kifaa hiki ni kupunguza matumizi ya nishati inayotumika kama gesi, umeme mkaa, etc, na hufanya...
Je, Umewahi kujiuliza jinsi viongozi wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) wanavyopatikana?
Jaji Mkuu Martha Koome (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na wajumbe wa Jopo la Uteuzi la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) baada ya kuapishwa Januari 27, 2025
Katika taifa ambapo uchaguzi ni...
NIDA (Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa) ni chombo chenye wajibu wa kutoa huduma za utambuzi ambazo zinatambulika kitaifa na kimataifa. Chombo hiki hutoa vitambulisho kwa Watanzania na wageni wakaazi wa Tanzania na kutunza Daftari la Utambuzi kwa kengo la kuimarisha Usalama na Amani kiuchumi na...
andrew massawe
andrew wilson massawe
arnold kihaule
arnold kihaule nida
dickson maimu
esmaily hassan rumatila
james kaji
modestus kipilimba
uchaguzi 2025
viongozi nida
Simulizi ya Luhaga Mpina imebaki kama moja ya hadithi za kisiasa yenye kusisimua zaidi katika historia ya uchaguzi wa Tanzania. Fikiria Kutoka kwenye kura 92.3% za uteuzi ndani ya chama chake, kisha kuwekewa pingamizi mara ya kwanza na kulishinda kwa kesi mahakamani, kisha kuangukia pua kwa mara...
Katika mchakato wa Kidemokrasia, Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na Tume huru ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inachukuliwa kama nguzo kuu ya uaminifu wa wananchi. Lakini hatua ya Tume kuwapatia wagombea wa Urais magari kwa ajili ya kampeni inaleta maswali mazito kuhusu mustakabali wa Demokrasia na...
Ipo kauli inayosema msanii ni kioo cha jamii, kwa sababu wanapaswa kuakisi na kuifunda jamii yao katika mstari ulionyooka katika nyanja zote. Kupitia sanaa yao wanalo jukumu la kuielimisha jamii, kukosoa na kukemea maovu, kuburudisha na kadhalika, yote ni katika kujenga jamii yenye haki, amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.