Recent content by Jethro

  1. Jethro

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    My take, Wataalamu wa forensics wazipime hizo bullets zilizo kutwa kwa mwili wa lisu na zilizokutwa kwa gari na ndio mtajua siraha iliyo tumika na mmiliki kama record za siraha ziko sahihi. One of the very terrified mistake attempted kwa walio tumwa hii yaweza leta machafuko ndani ya nchi...
  2. Jethro

    Wauaji Kibiti watoa Ujumbe kuendeleza mapambano na wadhulumaji, wasema watu waendelee kutoa taarifa

    Ki interijensi vyombo vya ulinzi na usalama havikupasa kujibu sana kwa vitisho,walitakiwa ku run black and unseen operations. Hawa watu wanasoma sana mitandao na wanapata updates na more skills kwa social network if stop talking too much about then ndio watakuwa blind
  3. Jethro

    Shigongo amvaa Tundu Lissu

    Hiii mikataba ya ACACIA ni ya kisheria zaidi soo wanasheria ndio kwakiasi kikubwa wangempinga Lissu ila wanasheria wamepiga kimya wakijua fika ishu iko kisheria sana na lissu avyo ichambua nae asikilizwee pia tusiwe washabiki hili fumbo lapaswa fumbuliwa wananchi walijue
  4. Jethro

    Serikali ya Rais Magufuli ipo imara na haitishiwi na kelele za bungeni na mitandaoni

    Serikali ni Nani as per KATIBA Rais ni Nani as per KATIBA My take, Ukisha tambua hayo maswali mawili then Jenga hoja Zako upya
  5. Jethro

    Wabunge wa CCM wanafanya kikao usiku huu ndani ya ofisi za Chama Dodoma

    Zimwi la Mwl Nyerere linawatafuna kwani CCM viongozi wao wamejaa viburi na kujiona wao ndio wao na ndio Wenye nchi, kuna maoono mengi sana mwl Nyerere Alisha ionya CCM esp kwenye vikao via chama ila CCM na viongozi wa sasa wanajifanya wamesahau na hawajui. Juu ya uongozi Nyerere kisha waambia...
  6. Jethro

    Bashe(Mb): Ipo siku watu watatafuta haki yao mtaani!

    Mtabakia kuwa wajinga siku zote mtanzania akiambiwaga ukweli unatangaziwa Ati sio raia yale yale ya Generali Ulimwengu na mkapa administration matokeo yake mkapa anasema sorry uwekezaji ilikuwa tumekosea ideology yake tulipaswa weka Taasisi za kusimamia. Black tu ma blackiii kweli. Haya ndio...
  7. Jethro

    Bashe(Mb): Ipo siku watu watatafuta haki yao mtaani!

    Hali ya watanzania na anawafuasi Wendi UVCCM kwa taarifa yenu ni hatare kwa wanaobishana na ukweli na kuungana na kind bashite.tatizo kuna watu ndani ya CCM wameingia tuu kukivuruga chama sasa wacha wakaangane yetu macho kwa Gjeshi letu lipo tayari mura
  8. Jethro

    Nape: Ben Saanane amepotea, Clouds wamevamiwa, akina Roma wametekwa, Rais achukue hatua

    Sio kuwa hajaridhika na maamuzi ya rais hapana nikuwa kuna mgawanyiko na mpasuko mkubwa ndani ya CCM na serikali kwa ujumla kuna matabaka I mean so jiongeze utafahamu
  9. Jethro

    Mbinu chafu za maadui wa Rais Magufuli

    BONGO MOVIE
  10. Jethro

    Nape: Ben Saanane amepotea, Clouds wamevamiwa, akina Roma wametekwa, Rais achukue hatua

    Tume ni muhimu sana kumekuwa na nyendo zisizo na nani ndio commander incharge so inaleta image maya to White House mean ikulu inaonekana kuna watu wanatumia madaraka yao vibaya towards Raia na mali zao
  11. Jethro

    Zitto Kabwe: Rais Magufuli amemzuia RC Makonda kutokea mbele ya Kamati ya Bunge

    Hahaha vote of no confidence with PM JPM anaiogopa hiyo kwani ikija hachomozi CCM wote watampiga chini
  12. Jethro

    John Heche: Wote tunatakiwa kuungana bila kujali itikadi, rangi wala kabila kupinga watu wawili

    Penye ukweli acha mtu aseme ukweli ukichemka pia semeni ukweli pia umechemka
  13. Jethro

    Asilimia 88 za Lissu zimsaidie Magufuli kujitafakari

    Hapa ndipo JPM amejua wanafiki na sio wanafiki kwa taarifa yenu kunawatu visebusebu informers wa uongo walimdanganya sana JPM haya huyo Manasheria na katibu wa bunge yaani nawasikitikia sana na hao TISS
  14. Jethro

    Kwa mlio na matarajio makubwa kwa TLS ya Tundu Lissu, waulizeni wana Ikungi

    Wakuu me kwa upande mwingine wa shillingi Nadhani JPM amefurahi sana kwa TL kushinda urais wa TLS kwa Sasa ameisha gundua vilaza ni akinanani na atawanyoosha hao CCM sawa sawa si walitaka kura kumpinga Kasimu Maja hawa wakina pole pole sasa mwisho wao wakujipendekeza umefika TL atakuwa...
Back
Top Bottom