Recent content by Jesus37

  1. Jesus37

    Je, wajua kuwa binadamu anaweza akafa akiwa mwanaume ila katika re birth akawa mwanamke?

    binadam ni mnyama Kama wanya wengine tu.! kwaio mbuzi ni energy.?
  2. Jesus37

    Je, wajua kuwa binadamu anaweza akafa akiwa mwanaume ila katika re birth akawa mwanamke?

    binadam ni mnyama Kama wanya wengine tu.! kwaio mbuzi ni energy.?
  3. Jesus37

    Discoveries, Science, Technology and Nature

    robot ndogo Kama bacteria.?
  4. Jesus37

    Recover The Lost Memory: Kabla ya Kuishi hapa Duniani ulikuwa hai

    Kama yupo huyo muumba basi ana mambo yahovyo tu imagine kamuumba kuku ili akulwe yeye na mayai yake au swala akulwe na simba. mbona uonevu tu.! au nayeye ndo tabia yake.? hata haya mazingira unasema tunahalibu ni yeye kayata tu 😂 imagine tungekua na mbawa kusingekua nahaja yakutengeneza gari ...
  5. Jesus37

    Recover The Lost Memory: Kabla ya Kuishi hapa Duniani ulikuwa hai

    kweli kabisa tupo hapa Kama wajinga tu.!
  6. Jesus37

    Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

    sorry mtu wa dini ivi roho kazi yake niipi kwa mtu na binadam.?
  7. Jesus37

    Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

    umejuaje? hakuna hio kitu bhan
  8. Jesus37

    Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

    hizi story zauongo bhan 😔
  9. Jesus37

    Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

    wewe ndo unasema siyo yeye kasema.!
  10. Jesus37

    Mungu yupo kwa ajili yako. Amka!

    mbona story zinakua nyingi.? mnaesemaga mungu mnazunguzia muweza wa yote ashindwi na chochote alieumba kilakitu mwenye huluma na upendo.! alieandaa Moto kwaajili yakuchoma viumbe vyake.! HAYUPO
  11. Jesus37

    Mungu yupo kwa ajili yako. Amka!

    Mungu mwenye sifa hizo hayupo bhan na kwanini hizo dini zenu zinaongelea watu middle East sana ndo nduguze mungu au.?
  12. Jesus37

    Kuna uwezakano muumba ulimwengu aliacha kuingilia mambo ya ulimwengu aliouumba?

    Sasa kosa la yule mwizi no lipi.?😂😂😂
  13. Jesus37

    Sisi Waafrika historia yetu iko wapo kabla ya ujio wa Wamisionari na Waarabu?

    kunasiku nilijalbu kuonyesha msimamo wangu kuhusu hizo dini. mama alinikasilikia sana. yani alikuja kwangu alafu wakati wakula nikakataa kuombea chakula dah.! akamaindi😂
Back
Top Bottom