Kama yupo huyo muumba basi ana mambo yahovyo tu imagine kamuumba kuku ili akulwe yeye na mayai yake au swala akulwe na simba. mbona uonevu tu.! au nayeye ndo tabia yake.? hata haya mazingira unasema tunahalibu ni yeye kayata tu 😂 imagine tungekua na mbawa kusingekua nahaja yakutengeneza gari ...
mbona story zinakua nyingi.? mnaesemaga mungu mnazunguzia muweza wa yote ashindwi na chochote alieumba kilakitu mwenye huluma na upendo.! alieandaa Moto kwaajili yakuchoma viumbe vyake.! HAYUPO
kunasiku nilijalbu kuonyesha msimamo wangu kuhusu hizo dini. mama alinikasilikia sana. yani alikuja kwangu alafu wakati wakula nikakataa kuombea chakula dah.! akamaindi😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.