Bashe yupo sawa, ngoja nguvu ya soko iamue. Watu wengi wanalima kwenye mitandao ya kijamii Sio kufanya Kwa vitendo. Wanasema Bei ya vyakula ni ndogo hebu watuambie kuwa kilmoja ya mahindi, maharage, mpunga ni sh ngapi. Nimekuwa mtafiti Kwa umri wa miaka 31, niwaambie mkulima hapati faida kubwa...
Imeina story imewaacha waislamu ndiyo maana ukaandika. Mzee huwezi kuwadangaya watu wote, Kwa miaka yote umekuwa unapromote waislamu ndiyo wenye Mchango pekee wa nchi hii! Lakini hakuna mtu aliyedhaminu historia hiyo maana hajabalance. Jipange upya
Is there relation btn professional and being minister. My small search I have concluded that there no significance difference, because a minister is political figure those with professional are working under him. His or her major role is to supervise the team. Ktk utumishi wangu nimeona hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.