CCM wameshataifisha kila kitu we wa wapi
1.JPM kauza nyumba za umma, kaleta hasara za billion kazaa za samaki na kivuko kibovu na ndege zake hizi ambazo kanunua kwa siri
2. BWM uyu ni kiungo mshambuliaji na captain wa team ya ufisadi wote nchini ambao unaujua wewe
3. Chenge uyu ni kiungo...
Uwa nina tamaa ya mademu wenye makalio ila nikiona mwanafunzi uwa naisi kama nimeona mwanaume mwenzangu hata awe mzuri wa aje uwa siwezi kuona uzuri wake kwa hili najishukuru mwenyewe
Tatizo ni mawaziri wako pamoja na Raisi wako hawa jamaa ni wafanyabiashara tu wao wajua kupata faida kwa njia yoyote kwaiyo viongozi wako walitakiwa wasiwe na njaa au ubinafsi katika mikataba
Yeye sio jukumu lake kukuletea barabara ni jukumu la serikali kwa wananchi wake pia Halima yupo sahihi mimi nafarijika kuona anajitambua na hataki upuuzi wa speaker na kundi lake la CCM kuendesha bunge kama wapo vikao vya vijiweni
Kuna watu Magufuri alipokuwa anatumbua wenye vyeti fake nakusumbua watumishi kila siku kuleta vyeti na uhakiki ambao hauna mwisho walikuwa wanapongeza ila uyu bwana mdogo wa misungwi mwanza vyeti vyake vya kununua kwa mtu wanamtetea ; dah hii ni upuuzi wa hali ya juu sijawai kuona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.