Suzuki Carry New Model 4WD
Reg: EAA
Year: 2016
Engine: 650cc
Mileage: 76,862km
Gari bado jipya halina kipengele hata kimoja
Gari linabodi tayari kama linavyoonekana kwenye picha
Bei: 14.5M
Call: 0746191267
Abraham hakuwa nabii. Angalia manabii kama vile nabii Isaua, Yeremia, Daniel, Ezekiel na wengine. Je walikuwa wanaishi maisha ya kifahari na anasa? Angalia mitume wa Yesu; Petro, Yakobo, na mtume wa mataifa Paulo, je walikuwa wanaishi maisha ya kifahari na anasa? Sanasana walikuwa wanagawana...
Kwani Abraham alikuwa nabii au mtume? Pili, Abraham alipata utajiri wake kwa kukusanya sadaka au zaka za watu?
Kulingana na mafundisho ya Yesu Kristu, utajiri unaweza ukawa shida kwa mtu kuingia ufalme wa mbinguni. Unakumbuka kuna sehem Yesu akisema, “ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la...
Habari zenu wanajamii, siku hizi kuna makanisa mengi sana yanaibuka yenye wachungaji, manabii, mitume, walimu, n.k. Jambo linalopelekea upotoshwaji mwingi kufanyika kwa kutumia jina la Mungu na mwanae wa pekee Yesu Kristu.
Haya ni mambo matatu unayoweza kutumia kujua kanisa au mtumishi gani ni...
Kwenye dunia ya sasa, shetani anapambana sana kuwaweka watu mbali na Mungu. Na anatumia mbinu na mitindo ya maisha ya dunia ya sasa kufanikisha hilo:
1. Kuvutia watu kwa maisha ya kidunia na mali: Shetani hutumia tamaa za ulimwengu, kama utajiri, umaarufu, furaha za nje, na starehe za mwili...
Habari wandugu,
Makanisa mengi ya kisasa yamekuwa yakiwapotosha waumini wao kwasababu kubwa ya kuacha majukumu yao ya msingi na kufanya majukumu yasiowahusu.
Jukumu la msingi la kanisa ni kuwasaidia waumini wao waboreshe mahusiano yao na Mungu kwa kutenda mema na kuacha mabaya.
Lakini siku...
Watu inabidi tujifunze, unapokuwa na cheo au uwezo wa kifedha watu wengi watataka kuwa karibu na wewe sio kwamba wanakupenda bali wanakuhitaji.
Tunatakiwa tujuwe kutofautisha kati ya kupendwa na kuhitajika. Hii itatusaidia sana pindi tutakapoachwa kuhitajika tusidhani tumeachwa kipendwa.
Habari zenu wanaJf, ninaulizia kwa yeyote mwenye connection za machimbo ya nguo Nairobi aniunganishe nayo.
Nimesikia Nairobi kuna sehemu kama Eastleigh, Kamukunji na Dubois ambazo ni kama Kariakoo ya bongo. Nguo zao ni bei ndogo zaidi hata ya Kariakoo.
Kwa yeyote mwenye ujuzi au connection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.