Recent content by jernest5

  1. J

    JamiiForums Tanzania Rais kufanana na hawa maana yake nini?

    Who branded the 'mentioned' dictators!? Maana ya dictator inabadilika kutokana na asili ya kiongozi
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mimba ya dakika 30

    Kwa kawaida kupatwa kwa yai la kike hutokea eneo la mirija ya falopio, na yai la kiume huchukua kati ya dk 30 mpaka 45 kufika eneo hilo. Kama mayai yakikutana 'na' yakaungana, huchukua takribani masaa 12 kutengeneza kijusi (zygote). Inakadiriwa kuwa inachukua siku 6 kwa kijusi (blastocyst)...
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Life as a bachelor, shouldn't be this hard

    Ha ha ha, i thought you were storytelling mi life. Ladies, we surely need you..[emoji26]
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kabla Rais Magufuli hajazama jumla, ajiulize kwanza kwanini Kagame na Kikwete walikuwa na mgogoro?

    "Mfumo mmoja wa ukusanyaji kodi" hii sentensi inamaanisha nn kwako!? Kwamba nchi moja inatengeneza mfumo kwa ajili ya nchi mbili!? Mimi nadhani, ma-IT wa nchi hizi mbili watashirikiana kutengeneza mfumo huo kwa ajili ya hizo nchi zitakazoutumia. Ila naungana nawe kwene wasiwasi wa uhusiano huu...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Tanzania ya Kambi ya Upinzani Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2016/2017

    Kweli ninaiona haja ya kuwepo wabunge wa upinzani bungeni, mnatufumbua macho hasa kwene mambo muhimu yenye utata. Mf. Ndege za ATCL, kiwango cha pesa za bajeti nk. Natumaini waziri mwenye dhamana atayatolea ufafanuzi tukaenda pamoja. CURIOSITY: hivi bajeti kivuli huwa haielezei mapato au jinsi...
Back
Top Bottom