Recent content by Jepi

  1. Jepi

    Waliochaguliwa SUA tukutane hapa

    hahaaa Mlengera alistafu mkuu, pia STRENGTH OF MATERIALS inafundishwa na Prof. G. Mrema....Engineering mechanics(statics and dynamics) by Prof. Mpanduji...Daaah "Engineers ni wamoja sana".
  2. Jepi

    Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

    hapana mkuu hapo tution fee 1,263,000 unalipiwa yote na HSLB but utatakiwa kulipa tu michango mingine kama; caution money,medical fee etc.ambayo kwa SUA haizidi Tsh.180,000.
  3. Jepi

    Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

    shule ilikuwa poa sana enzi za mzee Vaginga..salamu kwako mwl. Mpala na wengineo
  4. Jepi

    Geographia ya SUA

    kama km 1.5 toka mjini mazngira yako poa sana.Karibu SUA mkuu.
Back
Top Bottom