Kama sio Muumini wa Iman za din inaweza kua ya kipuuzi Mungu akusamehe pia ila kwa mfano kila mtu angefuata maandiko leo kusingekua na watu wanakufa njaa halafu kuna watu wananunua pombe wanamwaga , wanaspend pesa nyingi kwenye vitu vya kipuuzi
Uchoyo tu
Mtoa hoja, haya maisha wala hayana maana sana, kwan mwisho wa maisha ni kifo kwa wote, ukiwa na kipato usiangalie kua lazima uwe tajiri sana wala, angalia tu unaishi vyema na unajiweza kwa shida zako ila suala la kusaidia asee saidia sanaz sio ndugu tu kuna watu wenye shida pia, kuna...
Karibu sana katika huduma zetu kwa wateja wenye Dekoda za Azam kutokq Malawi
Kama huna tutakuuzia, piga simu, tuma sms au Whatsapp muda wowote 24 hrs
0761751162
Karibu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.