nipo tayari kuifia UKAWA......................NI UKOMBOZI MPYA...............Kama Nyerere na ukombozi wa Tanganyika miaka ya 1950's.
wapi Mwigulu aka.li.pue umati wa UKAWA au Bajeti imembana (ana cook data) Intaraha.mweeeee pigwa chini
nafuatilia siasa na nyanja kama uchumi na jamii ya wilaya ya Kyela kwa ukaribu sana, Naona yanahitajika mabadiliko makubwa na yakimfumo kukidhi haja na hamu ya Wanakyela kimaendeleo. ipo haja ya kuwa na Kijana tena mzalendo hasa kuikomboa Kyela ambayo kwa maoni yangu haijapata uwakilishi katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.