Kilamuluzi
Senior Member
- May 20, 2014
- 116
- 20
zulma zinafanywa sana juu ya wafanyakazi wa taifa hili,na sijui kama wafanyakazi wanalijua hili jambo la kuzulumiwa na mifuko hii ya jamii.
Siasa za kujenga jina kwa mambo ya uongo kama kweli yuko sawa kwa nini asiweke majina hapa hii tabia ya kuongea vitu hewa bila kutaja majina ni jambo la kihuni huwezi kusema yote haya bila kututajia wahusika ni kudanganya watu ili uonekane mzuri.
Lissu ni mropokaji, anaongoza kwa siasa za matusi.
Kumbe wanaomba fedha kwa maendeleo mm nikajua wanaomba wakanunue mboga za majumban kwao
Maendeleo yapi kwa shs laki tano,kama sio hela ya mchicha na kilaji pale kaunta.Kumbe wanaomba fedha kwa maendeleo mm nikajua wanaomba wakanunue mboga za majumban kwao
Kumbe wanaomba fedha kwa maendeleo mm nikajua wanaomba wakanunue mboga za majumban kwao
ata angeataja usingekosa cha kusema.....wallahSiasa za kujenga jina kwa mambo ya uongo kama kweli yuko sawa kwa nini asiweke majina hapa hii tabia ya kuongea vitu hewa bila kutaja majina ni jambo la kihuni huwezi kusema yote haya bila kututajia wahusika ni kudanganya watu ili uonekane mzuri.
Lissu ana alijuwalo lile sawa na gari la matangazo
Siasa za kujenga jina
kwa mambo ya uongo kama kweli yuko sawa kwa nini asiweke majina hapa hii
tabia ya kuongea vitu hewa bila kutaja majina ni jambo la kihuni huwezi
kusema yote haya bila kututajia wahusika ni kudanganya watu ili
uonekane mzuri.
ubavu wakutaja hana, wamroge.ata angeataja usingekosa cha kusema.....wallah